The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 119
Jana wakati mwenyekiti mteule wa CCM, Dr. JM Kikwete akihutubia mkutano mkuu aligusia suala la mawasiliano na umma, alisema simu zake zinamsaidia sana kupata kinachoendelea huku uraiani.,na akasema mara nyingine huwa hajui kinachoemdela huku! Hapo ndipo tatizo langu la msingi linapojitokeza.,mimi nilidhani kwa kuwa na baraza kubwa la mawaziri basi kila sector iko well covered hivyo matatizo katika sector mbalimbali yatamfikia kupitia watendaji au mawaziri wa wizara husika zinazosimamia hizo sector. Or else nilidhani UWT na vyombo vingine vya habari vinampa mheshimiwa rais updates zote muhimu nn kinachoendelea huku kwetu! But Mmmh kwa kutegemea simu za watu ndo upate habari mkuu rais wangu ameonyesha udhaifu mwingine uliopo katika system yake!