MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Akizungumza katika maadhimisho ya "siku ya kumbukumbu" ya mauaji ya watu wanne na wengine kujeruhiwa yaliyosababishwa na bomu Juni 15, 2013 yaliyofanyika mkoani Arusha, Godbless Lema alidai kitendo hicho lilitekelezwa na polisi na ushahidi wanao na inazidi kuthibitishwa na hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukataa kuunda tume huru ya kimahakama walikoahidi kukabidhi ushahidi wa picha za mnato na video.
Kwa kipindi cha mwaka mzima sasa tunaimba iundwe tume huru ya kimahakama, lakini haiundwi. Rais na viongozi wa serikali wako kimya kama vile wale waliokufa na kujeruhiwa pale Soweto si Watanzania, alisema Lema.
ANGALIZO:
Kuna angalizo moja lisemalo, "mtu yeyote akikueleza jambo la kijinga na akafahamu kabisa jambo analokueleza ni la kijinga nawe pia ukalikubali jambo hilo, basi atakudharau sana".
Baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA wanawadharau sana wananchi.
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanapoenda mbele ya familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wahanga wa mlipuko wa bomu na kuanza kuwaeleza kuwa wana picha za video na mnato lakini hawawezi kuwaonyesha mpaka tume iundwe, ni dharau na kejeli isiyohesabika na kukubalika katika jamii endelevu.
Hii ni sawa na mtu aliyempa hifadhi mtu anayemfahamu ni muuwaji lakini badala yake anaenda kuwaambia wafiwa kuwa hawezi kuwaonyesha picha ya muuwaji mpaka vyombo vya sheria vimuulize.
Ni huyu huyu Godbless Lema aliyeweza kutoa photocopy nyingi za picha mnato zilizokuwa zinamuonyesha mtu mwenye sura inayofanana na yake akilawitiwa na akazipeleka kwenye mkutano wa hadhara huku akiambatana na mke wake na kufikia hatua ya kumpandisha Jukwaani Mke wake [Neema] ili azigawe picha hizo bila ya kutaka tume au taasisi ya serikali ifanye kwanza uchunguzi kama ilivyotangazwa kwenye thread hii,
As we all know, to know the offender would give affected community the opportunity to locate and bring the offender to justice. CHADEMA is denying justice to the family affected by bomb blast. CHADEMA is playing politics to peoples life for gullible political gain.
Kuna nini nyuma ya pazia au ndiyo mwendelezo wa siasa za kilaghai kwa faida ya siasa za muda mfupi.
Kila siku tunasema, CHADEMA kimejengwa katika misingi ya kilaghai. Maneno na matendo yao ya kitapeli ni zaidi ya dharau kwa wananchi.
Historia ya matendo ya Godbless Lema na CHADEMA kama nilivyoelezea hapo juu yanaonyesha kama kweli wangekuwa na video na picha mnato wasingesubiri uundwaji wa hiyo tume wanayodai ili wazitoa picha wanazodai wanazo.
Kwa kipindi cha mwaka mzima sasa tunaimba iundwe tume huru ya kimahakama, lakini haiundwi. Rais na viongozi wa serikali wako kimya kama vile wale waliokufa na kujeruhiwa pale Soweto si Watanzania, alisema Lema.
ANGALIZO:
Kuna angalizo moja lisemalo, "mtu yeyote akikueleza jambo la kijinga na akafahamu kabisa jambo analokueleza ni la kijinga nawe pia ukalikubali jambo hilo, basi atakudharau sana".
Baadhi ya viongozi wakuu wa CHADEMA wanawadharau sana wananchi.
Viongozi wakuu wa CHADEMA wanapoenda mbele ya familia, ndugu, jamaa na marafiki wa wahanga wa mlipuko wa bomu na kuanza kuwaeleza kuwa wana picha za video na mnato lakini hawawezi kuwaonyesha mpaka tume iundwe, ni dharau na kejeli isiyohesabika na kukubalika katika jamii endelevu.
Hii ni sawa na mtu aliyempa hifadhi mtu anayemfahamu ni muuwaji lakini badala yake anaenda kuwaambia wafiwa kuwa hawezi kuwaonyesha picha ya muuwaji mpaka vyombo vya sheria vimuulize.
Ni huyu huyu Godbless Lema aliyeweza kutoa photocopy nyingi za picha mnato zilizokuwa zinamuonyesha mtu mwenye sura inayofanana na yake akilawitiwa na akazipeleka kwenye mkutano wa hadhara huku akiambatana na mke wake na kufikia hatua ya kumpandisha Jukwaani Mke wake [Neema] ili azigawe picha hizo bila ya kutaka tume au taasisi ya serikali ifanye kwanza uchunguzi kama ilivyotangazwa kwenye thread hii,
Kwa nini kwa sasa asifanye hivyo pia kwenye video na picha mnato anazodai anazo na zinazowaonyesha watu wabaya waliofanya mauwaji ili jamii itoe hukumu kwa kutumia court of public opinion?.
As we all know, to know the offender would give affected community the opportunity to locate and bring the offender to justice. CHADEMA is denying justice to the family affected by bomb blast. CHADEMA is playing politics to peoples life for gullible political gain.
Kuna nini nyuma ya pazia au ndiyo mwendelezo wa siasa za kilaghai kwa faida ya siasa za muda mfupi.
Kila siku tunasema, CHADEMA kimejengwa katika misingi ya kilaghai. Maneno na matendo yao ya kitapeli ni zaidi ya dharau kwa wananchi.
Historia ya matendo ya Godbless Lema na CHADEMA kama nilivyoelezea hapo juu yanaonyesha kama kweli wangekuwa na video na picha mnato wasingesubiri uundwaji wa hiyo tume wanayodai ili wazitoa picha wanazodai wanazo.