BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 330
- 612
Upo zako mgahawani, utasikia kauli hizi zenye utata mtupu:
Mhudumu: Vipi umeshawashughulikia wateja?"
Wateja: Aah! Sema kuhudumiwa, siyo kushughulikiwa.
Mhudumu: Karibu Masta, za mzunguko?
Mteja 1 wa kiume: Mzunguko gani, acha ufala wewe.
Mteje 2: Oya shika hela yako (anatoa 10,000).
Mhudumu 2: Mzee hauna ndogo? Tupe ndogo bhana, hii hatuna chenji.
Mteja 3: Oyyyyyyy naomba kitumbua na maziwa. Jana kitumbua chako kilikuwa kitamu kweli kweli.
Mhudumu: Weka kauli sawa, sio kitumbua changu, mi siyo mpishi.
Mteja 4: Ahaaaaaa, shee mkuuu ndugu yangu! Za siku zako, unaendeleaje na hali?
Mhudumu: Wewe, kauli gani hizo, za siku zipi yani, dadavua?
Mteja: Oyy acha leo sina hela, nitakupitishia.
Mhudumu: Weka kauli sawa, sema ntakupitia hela yako baadae, sio ntakuptishia!!Utanipitishia nini sasa, mti au? Acha ujinga.
KWENYE DALADALA
Konda: Makumbusho makumbusho, vipi unaenda?
Abiria: Hamna siendi, ila ukitaka nikupeleke nakupeleka chaap moja.
Konda: Naomba nauli mzee.
Abiria: Ngoja ikisimama nakupa.
Konda: Acha ujinga weweeee!
Huku mtaani ukiambiwa kauli yeyote na vijana hawa, itafakari mara mbili kwanza!
Mhudumu: Vipi umeshawashughulikia wateja?"
Wateja: Aah! Sema kuhudumiwa, siyo kushughulikiwa.
Mhudumu: Karibu Masta, za mzunguko?
Mteja 1 wa kiume: Mzunguko gani, acha ufala wewe.
Mteje 2: Oya shika hela yako (anatoa 10,000).
Mhudumu 2: Mzee hauna ndogo? Tupe ndogo bhana, hii hatuna chenji.
Mteja 3: Oyyyyyyy naomba kitumbua na maziwa. Jana kitumbua chako kilikuwa kitamu kweli kweli.
Mhudumu: Weka kauli sawa, sio kitumbua changu, mi siyo mpishi.
Mteja 4: Ahaaaaaa, shee mkuuu ndugu yangu! Za siku zako, unaendeleaje na hali?
Mhudumu: Wewe, kauli gani hizo, za siku zipi yani, dadavua?
Mteja: Oyy acha leo sina hela, nitakupitishia.
Mhudumu: Weka kauli sawa, sema ntakupitia hela yako baadae, sio ntakuptishia!!Utanipitishia nini sasa, mti au? Acha ujinga.
KWENYE DALADALA
Konda: Makumbusho makumbusho, vipi unaenda?
Abiria: Hamna siendi, ila ukitaka nikupeleke nakupeleka chaap moja.
Konda: Naomba nauli mzee.
Abiria: Ngoja ikisimama nakupa.
Konda: Acha ujinga weweeee!
Huku mtaani ukiambiwa kauli yeyote na vijana hawa, itafakari mara mbili kwanza!