Kauli mbiu za CCM zinachuja kwa kipindi kifupi why.........

majogajo

JF-Expert Member
Oct 9, 2011
317
44
walianza na HALI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. tena vijana wakikisikia unaisema wanaweza kukupiga mawe. ikaja SERIKALI YETU NI SIKIVU...........ikachuja baada ya kikao cha bunge la bajeti, wahubiri wakuu wabunge wa ccm, spika wa bunge na mawaziri. TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE. ikachuja baada ya maadhimisho ya uhuru. hii haoikupata mafanikio sana maana waliokuwa wakijitahidi kuihubiri ni wale waliokuwa wakifaidika nayo kama mawaziri, wabunge wa ccm,wakubwa wa mashirika ya umma na wale walijipeleka siku ya maadhimisho ya uhuru kuona ndege zinavyoruka angani, huku wenzetu wakituma vyombo angani ss bado tunaenda kushuhudia ndege za kivita zikiruk kwenye nchi yenye amani ya kijinga. wamekuja na kauli mbiu nyingine, KUKATAA KOO ZA WATU(Steve Nyerere), kufatilia mahusiano ya watu (Dr na Josephine), kupakazia watu, kutengeneza nyaraka mbalimbali za uongo na kuhubiri matusi. ................hizi zimetokea arumeru. Ongezea na wewe............................. na unahisi watakuja na ipi sa hv.
 
Mkuu siasa inaenda na wakati kama miziki ya bongo fleva, ukiona sigle hailipi unatoa album nzima full vionjo kisha unasikilizia. ukiona nayo hailipi unashirikisha wengine kama ilivyo sasa zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa
 
Nawasiwasi kama watu watachangia mkuu, hoja yako ni nzuri na ina mashiko ila JF watu wanachangia kwa kujuana... utaona kwa mfano kwa sababu fulani ni JF EXPERT MEMBER na ameandika kitu cha kawaida kabisaaaaa lakini wachangiaji 250.. andika wewe MEMBER au SENIOR MEMBER hata kama ni habari ya maana kiasi gani utakuta wachangiaji 10...
kuonyesha wanajuana mkuu utakuita mtu anachangia post kwa mtindo huu, nanukuu.. " jamani wewe (Jina la mwana JF) sijakuona jamvini muda, ulipotelea wapi?", hapa utajiuliza huyu mtu anachangia post ama kuna mengine?
 
Mkuu siasa inaenda na wakati kama miziki ya bongo fleva, ukiona sigle hailipi unatoa album nzima full vionjo kisha unasikilizia. ukiona nayo hailipi unashirikisha wengine kama ilivyo sasa zanzibar serikali ya umoja wa kitaifa
mbona peples powerrrrrrrrrrrrrr haijachuja mkuu.
 
Songíto;3578707 said:
Nawasiwasi kama watu watachangia mkuu, hoja yako ni nzuri na ina mashiko ila JF watu wanachangia kwa kujuana... utaona kwa mfano kwa sababu fulani ni JF EXPERT MEMBER na ameandika kitu cha kawaida kabisaaaaa lakini wachangiaji 250.. andika wewe MEMBER au SENIOR MEMBER hata kama ni habari ya maana kiasi gani utakuta wachangiaji 10... kuonyesha wanajuana mkuu utakuita mtu anachangia post kwa mtindo huu, nanukuu.. " jamani wewe (Jina la mwana JF) sijakuona jamvini muda, ulipotelea wapi?", hapa utajiuliza huyu mtu anachangia post ama kuna mengine?
kumbe ndio maaaanaaaaaaaaa, ok leo nimejua namimi nitaanza kuwa bias kwa EPERT MEMBERS.
 
Songíto;3578707 said:
Nawasiwasi kama watu watachangia mkuu, hoja yako ni nzuri na ina mashiko ila JF watu wanachangia kwa kujuana... utaona kwa mfano kwa sababu fulani ni JF EXPERT MEMBER na ameandika kitu cha kawaida kabisaaaaa lakini wachangiaji 250.. andika wewe MEMBER au SENIOR MEMBER hata kama ni habari ya maana kiasi gani utakuta wachangiaji 10...
kuonyesha wanajuana mkuu utakuita mtu anachangia post kwa mtindo huu, nanukuu.. " jamani wewe (Jina la mwana JF) sijakuona jamvini muda, ulipotelea wapi?", hapa utajiuliza huyu mtu anachangia post ama kuna mengine?

Mkuu mbona umetoka nje ya mada?
 
Mkuu mbona umetoka nje ya mada?

mkuu jaribu kuangalia trend ya uchangiaji wa hii mada ndo utajua kuwa nimetoka nje ya mada ama la... ninachokisema kipo mkuu hata kama hutakubali... na si kwamba mimi ni mpostiji maarufu, la shasa!! ila naona jinsi wasiofahamika wanavyokuwa treated..inanipa wakati mgumu wa kupost kitu kwa kuwa kwa hakika kitakosa wateja hata kama kingekuwa kizuri kiasi gani... tunaishia kuchangia tu post za watu
 
umesahau huko Arumeru Mashariki wanakauli mpya "TOBIKOoooo" hata maana yake sijui
 
Kilimo kwanza hivi sio ya kwao?ni ya serikali lakini si ni serikali ya c.c.m?na hali zaidi,kasi zaidi,nguvu zaidi.....yaani kama kauli mbiu ndio zingekua maendeleo,Tanzania ingekua mbali sana kimaendeleo chini ya utawala wa c.c.m,maana ni mabingwa wa kauli mbiu hao!
 
Na saizi ukisema Arumeru tu CCM lazim ukunga uwwwwwwwiiiiiiiiii kama mtu amegongwa na gari.

Sijui ni nani anayecheza muzuki wa mwenzake.
 
walianza na HALI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. tena vijana wakikisikia unaisema wanaweza kukupiga mawe. ikaja SERIKALI YETU NI SIKIVU...........ikachuja baada ya kikao cha bunge la bajeti, wahubiri wakuu wabunge wa ccm, spika wa bunge na mawaziri. TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE. ikachuja baada ya maadhimisho ya uhuru. hii haoikupata mafanikio sana maana waliokuwa wakijitahidi kuihubiri ni wale waliokuwa wakifaidika nayo kama mawaziri, wabunge wa ccm,wakubwa wa mashirika ya umma na wale walijipeleka siku ya maadhimisho ya uhuru kuona ndege zinavyoruka angani, huku wenzetu wakituma vyombo angani ss bado tunaenda kushuhudia ndege za kivita zikiruk kwenye nchi yenye amani ya kijinga. wamekuja na kauli mbiu nyingine, KUKATAA KOO ZA WATU(Steve Nyerere), kufatilia mahusiano ya watu (Dr na Josephine), kupakazia watu, kutengeneza nyaraka mbalimbali za uongo na kuhubiri matusi. ................hizi zimetokea arumeru. Ongezea na wewe............................. na unahisi watakuja na ipi sa hv.

Tamba uone!
 
walianza na HALI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA..................Ikachuja mda mfupi baada ya kikwete kuwa rais. tena vijana wakikisikia unaisema wanaweza kukupiga mawe. ikaja SERIKALI YETU NI SIKIVU...........ikachuja baada ya kikao cha bunge la bajeti, wahubiri wakuu wabunge wa ccm, spika wa bunge na mawaziri. TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE. ikachuja baada ya maadhimisho ya uhuru. hii haoikupata mafanikio sana maana waliokuwa wakijitahidi kuihubiri ni wale waliokuwa wakifaidika nayo kama mawaziri, wabunge wa ccm,wakubwa wa mashirika ya umma na wale walijipeleka siku ya maadhimisho ya uhuru kuona ndege zinavyoruka angani, huku wenzetu wakituma vyombo angani ss bado tunaenda kushuhudia ndege za kivita zikiruk kwenye nchi yenye amani ya kijinga. wamekuja na kauli mbiu nyingine, KUKATAA KOO ZA WATU(Steve Nyerere), kufatilia mahusiano ya watu (Dr na Josephine), kupakazia watu, kutengeneza nyaraka mbalimbali za uongo na kuhubiri matusi. ................hizi zimetokea arumeru. Ongezea na wewe............................. na unahisi watakuja na ipi sa hv.

Mimi sina mengi, naongezea hizi za Mh. Livingstone Lusinde: Bofya hapa Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube
 
Songíto;3578707 said:
Nawasiwasi kama watu watachangia mkuu, hoja yako ni nzuri na ina mashiko ila JF watu wanachangia kwa kujuana... utaona kwa mfano kwa sababu fulani ni JF EXPERT MEMBER na ameandika kitu cha kawaida kabisaaaaa lakini wachangiaji 250.. andika wewe MEMBER au SENIOR MEMBER hata kama ni habari ya maana kiasi gani utakuta wachangiaji 10...
kuonyesha wanajuana mkuu utakuita mtu anachangia post kwa mtindo huu, nanukuu.. " jamani wewe (Jina la mwana JF) sijakuona jamvini muda, ulipotelea wapi?", hapa utajiuliza huyu mtu anachangia post ama kuna mengine?

aisee big up.Hapo umemaliza kabisa,kweli tupu nshastukia hata mie
 
Kilimo kwanza hivi sio ya kwao?ni ya serikali lakini si ni serikali ya c.c.m?na hali zaidi,kasi zaidi,nguvu zaidi.....yaani kama kauli mbiu ndio zingekua maendeleo,Tanzania ingekua mbali sana kimaendeleo chini ya utawala wa c.c.m,maana ni mabingwa wa kauli mbiu hao!
ile ya WAKATI WA UKWELI NA UWAZI ilifanikiwa kweli? kwangu sikuona kama ilifanikiwa maana walipommaliza Mwl.Nyerere hawakuja kutueleza ukweli sabb za kum RIP.
 
Back
Top Bottom