"Katibu mkuu wa CCM Wilson Mukama,alishauri kufanyiwa marekebisho kwenye sheria ya vyama vya siasa namba 5 ya mwaka 1992 itakayoweka wazi shughuli ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi mkuu. Akisisitiza kuwa shughuli ya za siasa baada ya uchaguzi mkuu zihamie bungeni kwa wanasiasa kuhoji mipango ya maendeleo ya Serikali na matumizi ya rasilimali za nachi na wananchi waachwe wachape kazi zao za maendeleo" Mkama is very right, vinginevyo kazi zitafanyika saa ngapi kama mwaka mzima ni mikutano na maandamano tu?
Mkama is very right, vinginevyo kazi zitafanyika saa ngapi kama mwaka mzima ni mikutano na maandamano tu?
Mukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.
...prior i thought that y're ritz1 da one i used to his posts, but today i come to realize that y're not da one..Mukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.
mukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.
Mukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.
mh! Hebu fafanua maana sikuelewiMukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.
siku akvua gamba mi nitaacha kuchangia jukwaa la siasaUfahamu unaanza kurudi tartiiiiiiiiiib, ipo siku utavua gamba tu.
Mukama uwezo wake ni mdogo sana kwenye masuala ya utawala.