hata yeye sio mkweli JWTZ wana usafi gani? hawa si ndo walihusika na mereremeta sijui deep green ya EPA? (forgive me if not true, maana hizi habari tunaokota tu). Ila One thing I know for sure vijana wa JWTZ wamekuwa wakiwapiga vijana kwa kuvaa nguo zinazofanana na jezi zao, badala ya kuwafikisha mahakamani. Hawa pia walihusika katika kashfa ya tokomeza ujangili. sasa usafi wao upo wapi kama taasisi. Huku sio vijana wanatumia vyeti vya kufoji? nafikiri aliwaogopa tu. Na wabunge si ndio hao kina chenge, Lowasa, Sitta, tibaijuka, Komba sasa kama taasisi usafi wao upo wapi?. Taasisi isiyo na longolongo Tanzania ni shirikisho la watoto wa chekechea tu, maana hao ukiuliza mmekunywa uji na sukari au bila sukari watakwambia ukweli.