Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,766
- 4,046
Hapo ni kuwa wana ccm wameamua kumuwachia mwenye chama maana wamechoka na yanayotokea chini yake
Anakivuruga tu, mwisho wake atakuwa kiongozi wa kwanza mkimbizi nje ya nchi, maana kwenye chama hawatamtaka, na pia serikalini hawatamhitaji.