huyu jamaa ni anaitwa Gao (jina la kazi) alikuwa anafanya kazi standard group kuna wakati alichora katuni kwenye gazeti la east Africa likimuonyesha mh raisi wa awamu ya nne akiwa amezungukwa na mabinti ambao hawakuvaa kimaadili gazeti hilo lilifungiwa hapa Tanzania na mwaka huu jamaa alifukuzwa kazi katika ofisi ya standard media kule Kenya kwa sasa anafanya kazi dw...habari ndiyo hiyo