Hakuna cha kujifunza na Masoud naye ni msaliti, mhaini, anatumiwa na CCM na pia ni mtu ZZK na usalama wa taifa ( Kwa sauti Tundu Lissu akiwa amesahau dawa zake za ukichaa)
nyie kila mtu anatumiwa na CCM? ngoja Mbowe au slaa wakijiuzulu sijui mtasemaje?
wanaotumiwa na MaCDM ni akina nani?
Wee ni km nani kuzuia watu kuhabarishana. Acha uvivu wa kufikiriHayo ni maoni ya Masoud tu, sasa unaleta hapa una maana Masoud ni mtume au!!
Punguza alcohol mzee!
Dah, kigari basi kimeshafika tamati...
Mbowe na Slaa nao watakuwa wanatumiwa na CCM na usalama wa Taifa!!!nyie kila mtu anatumiwa na CCM? ngoja Mbowe au slaa wakijiuzulu sijui mtasemaje?
Masoud Kipanya ni Cartoonist na Kazi Ya Cartoonist ni Kutoa Maoni, Kupongeza, Kusifia na Kukosoa na Kama Ulisoma Interpretative Reporting Utanielewa na Anachokifanya Masoud Kipanya ni Kitu Kiitwacho Pictorial Editorial na Yupo Very Professional. Mbona Siku Zingine Anapokuwa Anasifia Ya Upinzani Huwa Hamsemi? Katika Watu Ninaowakubali basi Masoud Kipanya ni Mmoja Wapo na Nampenda Sana huyu Jamaa tokea Alipokuwa Clouds Fm na Hadi Alipohamia Times Fm Jamaa Amekuwa Juu na Ana Uwezo Mkubwa Mno Wa Kufikiri na Kujenga Hoja na Kuitetea. To Me He is My Mentor na Bahati Nzuri Tupo ktk Same Profession.Hakuna cha kujifunza na Masoud naye ni msaliti, mhaini, anatumiwa na CCM na pia ni mtu ZZK na usalama wa taifa ( Kwa sauti Tundu Lissu akiwa amesahau dawa zake za ukichaa)