Katoto haka kananichosha

Katoto haka kananichosha

Poleni sana wadau kwa kusaka mkate wa kila siku .
Niingie kwenye mada husika, mimi ni kjna wa kawaida maisha yangu ni ya level ya kawaida 2 lakini hapa mtaani kuna kadent. Nimekazdi kam miaka 5 kametokea kuelewa pigo zangu , yani kananismbua kwa brua toka mwaka jna , japo nilishakaambia kuwa nakachukulia kma mdogo wangu / rafki .

Lakini kananichosha kanapo nambia kapo tyari kufanya lolote kwa ajili yngu.
Mbaya zaid ni kadent.
kuna upepo wa segerea unakunyemelea. ukilegea tu 30 inakuhusu
 
Kuwa makini, kuna mwenzako juzi kapewa mapumziko ya miaka 30, jela
 
Ongeza kwanza 30yrs kwenye umri wako, then fanya maamuzi
 
Ila vitoto vya siku hizi havina haya hata kidogo..
 
Angalia sana usije ukogongwa 30 na ukifika huko ukogongwa nyuma adhabu mbili kwa wakati mmoja
 
Back
Top Bottom