anobreezy
Member
- Oct 9, 2018
- 80
- 65
Poleni sana wadau kwa kusaka mkate wa kila siku .
Niingie kwenye mada husika, mimi ni kjna wa kawaida maisha yangu ni ya level ya kawaida 2 lakini hapa mtaani kuna kadent. Nimekazdi kam miaka 5 kametokea kuelewa pigo zangu , yani kananismbua kwa brua toka mwaka jna , japo nilishakaambia kuwa nakachukulia kma mdogo wangu / rafki .
Lakini kananichosha kanapo nambia kapo tyari kufanya lolote kwa ajili yngu.
Mbaya zaid ni kadent.
Niingie kwenye mada husika, mimi ni kjna wa kawaida maisha yangu ni ya level ya kawaida 2 lakini hapa mtaani kuna kadent. Nimekazdi kam miaka 5 kametokea kuelewa pigo zangu , yani kananismbua kwa brua toka mwaka jna , japo nilishakaambia kuwa nakachukulia kma mdogo wangu / rafki .
Lakini kananichosha kanapo nambia kapo tyari kufanya lolote kwa ajili yngu.
Mbaya zaid ni kadent.