Katika siku za karibuni kumetokea sintofahamu kubwa kuhusu posho za madiwani Jiji la Arusha

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Katika siku za karibuni kumetokea sintofahamu kubwa kuhusu POSHO za madiwani Jiji la Arusha.Na kwamba zimeuziwa wakati sio kweli....

Huu ndio ukweli...
Posho ya kikao kimoja katika Halimashauri ya Jiji la Arusha ni laki moja kwa kikao,posho hii imeanza kulipwa 2008(nilikuwa shuleni)enzi hizo Halimashauri ilikuwa chini ya ccm,kabla ya hapo posho ilikuwa 80,000.Kwa mujibu wa kumbukumbu sahihi za Halimashauri posho hii ilipitishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Posho ya laki imelipwa kwa miaka nane mfufulizo na kamwe haijawahi kuwa hoja licha ya Halimashauri kufanyiwa special audit.

Mimi Ephata Nanyaro nimechaguliwa rasmi 2010 na kukuta kiwango hiki na kipindi hiki tangu 2010 hadi 2015 CHADEMA tulikuwa na mgogoro wa umeya,hivyo hatukuingia vikao vingi binafsi nilishiriki vikao 22 tu kwa miaka mitano kati ya hivo nililipwa vikao 10 tu yaani 100,000x10=1,000,000(milion moja ya kitanzania)
2015 nimechaguliwa tena na this time ni mjumbe wa kamati ya fedha na utawala kamati ambayo hukutana kila mwezi.Tangu tumechaguliwa na halimashauri imekuwa ya CHADEMA tuna miezi nane na vikao vya baraza (full council) vimekaa mara nne

1.Baraza la kuapishwa(Kikao cha kwanza)
2.Baraza maalum la bajeti 2016/17
3.Baraza la kawaida
4.Baraza la kujibu hoja za CAG

Kuna vikao vya kamati mbalimbali na binafsi nimekaa mara 7 kwenye kamati ya fedha ambayo inakutana kila mwezi ndio kusema 100,000x7=700,000 pamoja na baraza 100,000x4=400,000

400,000+700,000=1100,000(milioni moja na laki moja)
Kwa kuwa hii posho ambayo tumeikuta imekuwa NONGWA kwa makada wa ccm na watu wengine wenye umbumbu wa sheria na kanuni,na kwa kuwa CHADEMA kwenye ilani zake zote 2010 na 2015 imekuwa ikiitaka serikali kuondoa posho ya kitako na kwa kuwa Tangu 2008 kuna waliolipwa na kwa kuwa Katibu mkuu Tamisemi ameandika barua akitaka ufafanuzi wa posho hizi na kwa kuwa amekubali kupotoshwa kuwa madiwani wanajilipa wakati sio kweli tunajilipa bali tunalipwa naitaka serikali ifanye yafuatayo;

1.Bunge la Jamhuri ya Muungano lishitakiwe maana ndio limepitisha hii bajeti ikiwa na posho ndani yake,walipitisha kifungu kwa kifungu,kwa mujibu wa katiba bunge ndio hupitisha mapato na matumizi ya serikali

2.Walionufaika na hizi posho tangu 2008 waziriejeshe madiwani waliokuwapo na sisi tutakuwa tayari

3.Tamisemi iondoe posho kabisa kwa madiwani wote nchi nzima kama hizi posho ni haramu

Mimi Ephata Nanyaro nipo tayari kurejesha posho hizi kama ni haramu yaani posho ya milioni moja ya 2010-2015 na milioni moja na laki moja ya 2016Jumla 2,100,000,ithibitishwe kuwa ni haramu na sisi tutawajibika.

Chanzo: Ephata Nanyaro (Diwani wa Kata ya Levolosi Jijini Arusha)
 
Unacho kisema na kilichopo kwenye majadiliano kati ya Lema na Gambo mbele ya waziri ni tofauti kabisa... Weka video basi..

Kumbe Gambo anapingwa na kutukanwa kisa posho?
 
Huu mkoa mtulivu mmeshaufanya mkoa wa matatizo na maneno, basi tena sasa tunafanyaje? Majungu Ni mengi.
 
Katika siku za karibuni kumetokea sintofahamu kubwa kuhusu POSHO za madiwani Jiji la Arusha.Na kwamba zimeuziwa wakati sio kweli....

Huu ndio ukweli...
Posho ya kikao kimoja katika Halimashauri ya Jiji la Arusha ni laki moja kwa kikao,posho hii imeanza kulipwa 2008(nilikuwa shuleni)enzi hizo Halimashauri ilikuwa chini ya ccm,kabla ya hapo posho ilikuwa 80,000.Kwa mujibu wa kumbukumbu sahihi za Halimashauri posho hii ilipitishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Posho ya laki imelipwa kwa miaka nane mfufulizo na kamwe haijawahi kuwa hoja licha ya Halimashauri kufanyiwa special audit.

Mimi Ephata Nanyaro nimechaguliwa rasmi 2010 na kukuta kiwango hiki na kipindi hiki tangu 2010 hadi 2015 CHADEMA tulikuwa na mgogoro wa umeya,hivyo hatukuingia vikao vingi binafsi nilishiriki vikao 22 tu kwa miaka mitano kati ya hivo nililipwa vikao 10 tu yaani 100,000x10=1,000,000(milion moja ya kitanzania)
2015 nimechaguliwa tena na this time ni mjumbe wa kamati ya fedha na utawala kamati ambayo hukutana kila mwezi.Tangu tumechaguliwa na halimashauri imekuwa ya CHADEMA tuna miezi nane na vikao vya baraza (full council) vimekaa mara nne
1.Baraza la kuapishwa(Kikao cha kwanza)
2.Baraza maalum la bajeti 2016/17
3.Baraza la kawaida
4.Baraza la kujibu hoja za CAG
Kuna vikao vya kamati mbalimbali na binafsi nimekaa mara 7 kwenye kamati ya fedha ambayo inakutana kila mwezi ndio kusema 100,000x7=700,000 pamoja na baraza 100,000x4=400,000
400,000+700,000=1100,000(milioni moja na laki moja)
Kwa kuwa hii posho ambayo tumeikuta imekuwa NONGWA kwa makada wa ccm na watu wengine wenye umbumbu wa sheria na kanuni,na kwa kuwa CHADEMA kwenye ilani zake zote 2010 na 2015 imekuwa ikiitaka serikali kuondoa posho ya kitako na kwa kuwa Tangu 2008 kuna waliolipwa na kwa kuwa Katibu mkuu Tamisemi ameandika barua akitaka ufafanuzi wa posho hizi na kwa kuwa amekubali kupotoshwa kuwa madiwani wanajilipa wakati sio kweli tunajilipa bali tunalipwa naitaka serikali ifanye yafuatayo
1.Bunge la Jamhuri ya Muungano lishitakiwe maana ndio limepitisha hii bajeti ikiwa na posho ndani yake,walipitisha kifungu kwa kifungu,kwa mujibu wa katiba bunge ndio hupitisha mapato na matumizi ya serikali
2.Walionufaika na hizi posho tangu 2008 waziriejeshe madiwani waliokuwapo na sisi tutakuwa tayari
3.Tamisemi iondoe posho kabisa kwa madiwani wote nchi nzima kama hizi posho ni haramu

Mimi Ephata Nanyaro nipo tayari kurejesha posho hizi kama ni haramu yaani posho ya milioni moja ya 2010-2015 na milioni moja na laki moja ya 2016Jumla 2,100,000,ithibitishwe kuwa ni haramu na sisi tutawajibika.

Chanzo: Ephata Nanyaro (Diwani wa Kata ya Levolosi Jijini Arusha)
CHADEMA mnaweweseka kujisafisha na kinyesi...........‘’Cowards die many times before their deaths; the valiant never taste of death but once’’- William Shakespeare
 
Gambo roho inamuuma kwa kuwa diwani wa ccm ni mmoja tu hivyo kuona posho nyingi zinaenda chadema na wanufaika wa misaada ya posho hizo ni wananchi wanaopata misaada midogo midogo kutoka kwa madiwani wao kupitia posho hizo.

Haina maana kuendelea kumjadili Gambo wakati posho ipo kwa mujibu wa sheria aende mahakamani akapinge jiji la Arusha lisiwe na posho maana roho yake ina chuki sana.

Sijui kwa nini Gambo siasa kwake ni uadui?! kijana hajielewi kuwa kuna maisha baada ya siasa, na cheo ni dhamana.
 
Mbona hujaisema ile milioni 400 uliyohongwa ili uwapokonye vibanda wajasiriamali pale stand ndogo? Mikopo kwa vijana mnawapa mahawara zenu tu unafikiri hatujui
 
Gambo roho inamuuma kwa kuwa diwani wa ccm ni mmoja tu hivyo kuona posho nyingi zinaenda chadema na wanufaika wa misaada ya posho hizo ni wananchi wanaopata misaada midogo midogo kutoka kwa madiwani wao kupitia posho hizo. Haina maana kuendelea kumjadili Gambo wakati posho ipo kwa mujibu wa sheria aende mahakamani akapinge jiji la Arusha lisiwe na posho maana roho yake ina chuki sana. Sijui kwa nini Gambo siasa kwake ni uadui?! kijana hajielewi kuwa kuna maisha baada ya siasa, na cheo ni dhamana.
madiwani wa Chadema wanajilipa posho tsh 230000 kila kikao huu ni ufisadi
 
Gambo roho inamuuma kwa kuwa diwani wa ccm ni mmoja tu hivyo kuona posho nyingi zinaenda chadema na wanufaika wa misaada ya posho hizo ni wananchi wanaopata misaada midogo midogo kutoka kwa madiwani wao kupitia posho hizo. Haina maana kuendelea kumjadili Gambo wakati posho ipo kwa mujibu wa sheria aende mahakamani akapinge jiji la Arusha lisiwe na posho maana roho yake ina chuki sana. Sijui kwa nini Gambo siasa kwake ni uadui?! kijana hajielewi kuwa kuna maisha baada ya siasa, na cheo ni dhamana.
Kumbe Gambo anachukiwa kisa sakata la posho... Posho ... Posho.. Duu..

Kumbe ndio maana Lema alikuwa analia lia daaa
 
Futilia CCM ikafie mbali, chama kilichokataliwa na sauti ya wengi, na sauti ya wengi ninsauti ya Mungu, hakika Mungu naye amewakataa na ndiyo maana akili na maarfia ni hanyau kote.
 
Naendelea kusema Chadema jikite kwenye kutatua kero za wananchi waliowachagua hachana na mambo ya posho, Uchaguzi ujao mnaweza mkaanguka vibaya.
 
Naendelea kusema Chadema jikite kwenye kutatua kero za wananchi waliowachagua hachana na mambo ya posho, Uchaguzi ujao mnaweza mkaanguka vibaya.
Mkuu kwa habari zilizopo Arusha ambazo mimi zimenifikia hapa kwenye dawati langu la habari ni kuwa Ccm baada ya kuona chadema wanatekeleza majukumu yao vizuri na wananchi wanawafurahia kwa kutekeleza yale yote waliyo haidi kwenye uchaguzi ccm wanataka kuwatoa nje ya barabara kwa majungu
 
Katika siku za karibuni kumetokea sintofahamu kubwa kuhusu POSHO za madiwani Jiji la Arusha.Na kwamba zimeuziwa wakati sio kweli....

Huu ndio ukweli...
Posho ya kikao kimoja katika Halimashauri ya Jiji la Arusha ni laki moja kwa kikao,posho hii imeanza kulipwa 2008(nilikuwa shuleni)enzi hizo Halimashauri ilikuwa chini ya ccm,kabla ya hapo posho ilikuwa 80,000.Kwa mujibu wa kumbukumbu sahihi za Halimashauri posho hii ilipitishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu. Posho ya laki imelipwa kwa miaka nane mfufulizo na kamwe haijawahi kuwa hoja licha ya Halimashauri kufanyiwa special audit.

Mimi Ephata Nanyaro nimechaguliwa rasmi 2010 na kukuta kiwango hiki na kipindi hiki tangu 2010 hadi 2015 CHADEMA tulikuwa na mgogoro wa umeya,hivyo hatukuingia vikao vingi binafsi nilishiriki vikao 22 tu kwa miaka mitano kati ya hivo nililipwa vikao 10 tu yaani 100,000x10=1,000,000(milion moja ya kitanzania)
2015 nimechaguliwa tena na this time ni mjumbe wa kamati ya fedha na utawala kamati ambayo hukutana kila mwezi.Tangu tumechaguliwa na halimashauri imekuwa ya CHADEMA tuna miezi nane na vikao vya baraza (full council) vimekaa mara nne

1.Baraza la kuapishwa(Kikao cha kwanza)
2.Baraza maalum la bajeti 2016/17
3.Baraza la kawaida
4.Baraza la kujibu hoja za CAG

Kuna vikao vya kamati mbalimbali na binafsi nimekaa mara 7 kwenye kamati ya fedha ambayo inakutana kila mwezi ndio kusema 100,000x7=700,000 pamoja na baraza 100,000x4=400,000

400,000+700,000=1100,000(milioni moja na laki moja)
Kwa kuwa hii posho ambayo tumeikuta imekuwa NONGWA kwa makada wa ccm na watu wengine wenye umbumbu wa sheria na kanuni,na kwa kuwa CHADEMA kwenye ilani zake zote 2010 na 2015 imekuwa ikiitaka serikali kuondoa posho ya kitako na kwa kuwa Tangu 2008 kuna waliolipwa na kwa kuwa Katibu mkuu Tamisemi ameandika barua akitaka ufafanuzi wa posho hizi na kwa kuwa amekubali kupotoshwa kuwa madiwani wanajilipa wakati sio kweli tunajilipa bali tunalipwa naitaka serikali ifanye yafuatayo;

1.Bunge la Jamhuri ya Muungano lishitakiwe maana ndio limepitisha hii bajeti ikiwa na posho ndani yake,walipitisha kifungu kwa kifungu,kwa mujibu wa katiba bunge ndio hupitisha mapato na matumizi ya serikali

2.Walionufaika na hizi posho tangu 2008 waziriejeshe madiwani waliokuwapo na sisi tutakuwa tayari

3.Tamisemi iondoe posho kabisa kwa madiwani wote nchi nzima kama hizi posho ni haramu

Mimi Ephata Nanyaro nipo tayari kurejesha posho hizi kama ni haramu yaani posho ya milioni moja ya 2010-2015 na milioni moja na laki moja ya 2016Jumla 2,100,000,ithibitishwe kuwa ni haramu na sisi tutawajibika.

Chanzo: Ephata Nanyaro (Diwani wa Kata ya Levolosi Jijini Arusha)
Mbona Maelezo yako yanakinzana na ufafanuzi wa lema?
 
Chadema mkoa wa Arusha msikubali kuingia kwenye mtego wa CCM. Endeleeni kutatua matatizo ya wananchi. Msiwajibu hao vilazaa wa Chuo cha mafisadi (ccm) a
 
mnasema posho mlizikuta kwa hiyo hata mambo ambayo mnawatuhumu ccm kuwa ni mabaya mkiingia madarakani mtayaendeleza maana mmeyakuta.ulitakiwa ujikite kueleza kama hizo posho mnazojilipa zina uhalali kwa wananchi na pia njia nyingine ni kufanya vikao mara kwa mara ili mjipatie posho zaidi
 
mnasema posho mlizikuta kwa hiyo hata mambo ambayo mnawatuhumu ccm kuwa ni mabaya mkiingia madarakani mtayaendeleza maana mmeyakuta.ulitakiwa ujikite kueleza kama hizo posho mnazojilipa zina uhalali kwa wananchi na pia njia nyingine ni kufanya vikao mara kwa mara ili mjipatie posho zaidi

kuna watu walifikiri kwenye udiwan kuna mamilioni mengi , sasa WENGINE wameuza hadi nyumba kisa udiwani na ndo maana wanakomaa na kuongeza posho
 
Back
Top Bottom