Katika picha chama imara kikionyesha mshikamano wake

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,342
9,767
Ndugu zangu Watanzania,

Picha zinaongea zaidi na wala sina cha kuongeza
IMG-20240119-WA0014.jpg
IMG-20240119-WA0013.jpg
IMG-20240119-WA0008.jpg
IMG-20240115-WA0007.jpg
IMG-20240114-WA0037.jpg
IMG-20240116-WA0018.jpg
 
..idadi kubwa ni watu wenye VITAMBI.

..Watu waliovimbiwa kodi za Watz.

..Ndio maana Ccm ni chama kinachopinga Maandamano.
 
sinaundugu nabwege
Mimi watanzania wote ni ndugu zangu na huo ndio utamaduni wetu watanzania.ndio maana mtanzania unaweza kwenda ugenini ukapokelewa vizuri na kupewa chakula na mahali pa kulala bila shida yoyote ile.hii ni kwa kuwa sisi sote watanzania ni ndugu . Labda kama wewe ni lihamiaji haramu.
 
Kwanini unakua ulimi tu akili zinadumaa? Kumbuka kuna kisukali sisiemu haitokuja kukuona Mwaisela ukijinyeanyea na kutapikiana.
Tupingane kwa hoja ndugu yangu.siasa siyo ugomvi na hatupaswi kugombana na kutukanana kwa sababu ya siasa tu. Nje ya siasa tunabaki kuwa watanzania tu.
 
Haya mapichapicha ndio yataondoa mgao wa umeme?
Mgao wa umeme unakwenda kumalizika muda siyo mrefu ndugu yangu mtanzania. Serikali ipo kazini usiku na mchana katika kupambana na Changamoto hiyo nakuhakikishia kuwa watanzania wanapata mwanga wa umeme saa 24.
 
Back
Top Bottom