Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,342
- 9,767
Ndugu zangu Watanzania,
Picha zinaongea zaidi na wala sina cha kuongeza
Picha zinaongea zaidi na wala sina cha kuongeza
Pasuka kama umeumiaChama cha Machawa Tanzania, CHAMATA.
HII INCHI NI KIPANDE CHA LAANA KATIKA AFRIKA.
Weka hata yako ndugu yanguumeusahau kuweka nambayako mkuu
Nenda kaandamane kama unajiamini...idadi kubwa ni watu wenye VITAMBI.
..Watu waliovimbiwa kodi za Watz.
..Ndio maana Ccm ni chama kinachopinga Maandamano.
Keshapanuka moyo huyo achana nae komrediPasuka kama umeumia
Mimi watanzania wote ni ndugu zangu na huo ndio utamaduni wetu watanzania.ndio maana mtanzania unaweza kwenda ugenini ukapokelewa vizuri na kupewa chakula na mahali pa kulala bila shida yoyote ile.hii ni kwa kuwa sisi sote watanzania ni ndugu . Labda kama wewe ni lihamiaji haramu.sinaundugu nabwege
Kwanini unakua ulimi tu akili zinadumaa? Kumbuka kuna kisukali sisiemu haitokuja kukuona Mwaisela ukijinyeanyea na kutapikiana.Pasuka kama umeumia
Tupingane kwa hoja ndugu yangu.siasa siyo ugomvi na hatupaswi kugombana na kutukanana kwa sababu ya siasa tu. Nje ya siasa tunabaki kuwa watanzania tu.Kwanini unakua ulimi tu akili zinadumaa? Kumbuka kuna kisukali sisiemu haitokuja kukuona Mwaisela ukijinyeanyea na kutapikiana.
Ndo uwe mtanzania mwenye akili sasa usitangulize tumbo badala ya uzarendo.Tupingane kwa hoja ndugu yangu.siasa siyo ugomvi na hatupaswi kugombana na kutukanana kwa sababu ya siasa tu. Nje ya siasa tunabaki kuwa watanzania tu.
Mgao wa umeme unakwenda kumalizika muda siyo mrefu ndugu yangu mtanzania. Serikali ipo kazini usiku na mchana katika kupambana na Changamoto hiyo nakuhakikishia kuwa watanzania wanapata mwanga wa umeme saa 24.Haya mapichapicha ndio yataondoa mgao wa umeme?
Tushindanishe hoja mezani na tubishane kwa hoja na siyo kutukanana na kudhalilishana tu kama walevi wa gongo.Ndo uwe mtanzania mwenye akili sasa usitangulize tumbo badala ya uzarendo.
Hoja gani ulizo nazo, hizo hoja ndizo weka hapo kwa thread sasa siyo mambo ya hovyo hovyo kama hayo🚮Tushindanishe hoja mezani na tubishane kwa hoja na siyo kutukanana na kudhalilishana tu kama walevi wa gongo.
Huoni hata aibu.Mgao wa umeme unakwenda kumalizika muda siyo mrefu ndugu yangu mtanzania. Serikali ipo kazini usiku na mchana katika kupambana na Changamoto hiyo nakuhakikishia kuwa watanzania wanapata mwanga wa umeme saa 24.
Nenda kaandamane kama unajiamini.
takataka gani hizi umetuleteaNdugu zangu Watanzania,
Picha zinaongea zaidi na wala sina cha kuongeza View attachment 2876678View attachment 2876679View attachment 2876681View attachment 2876683View attachment 2876684View attachment 2876685