Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,314
- 2,635
UONGO 1.wadada wote wa jf nawapenda naomba mnikubali ninaahidi sinto waumiza mimi nitakuwa barafu wa kupoza mioyo yenu iliyo umizwa na wakaka wasiyojua kupenda.nitafanya mpango soko kariakoo niwape mapato mtagawana. UKWELI 2 .nawapenda lakini sina pa kuwapeleka.kwakuwa namalizia dozi yangu ya kifua kikuu leo ningependa mnikaribishe kwenu ili niwe wenu.kwakuwa ninawapenda nitajitahidi kutafuta kazi ili niwahudumie ila kwa sasa naomba mnihudumie nyie. SWALI KATI YA MUONGO NA MKWELI NANI AMBAE HUFANIKIWA KWA UPESI? Shusha data