Katika mapenzi hiki ndicho kinachouma!

inabidi kujipanga vizur mnapoachana upambane kiukweli kweli sio unajisusa susa utakuja kumkimbia x wako
 
Kufwafwanzika- ndo kupi Kamanda?
 
tatizo mapenzi ya watu wengi huwa yanaanza na kutakana (kubadilishana vikojoleo vyao) hawaanzi urafiki kwanza matokeo yake wakimwagana kila kitu kinasambaratika! inatakiwa uanze urafiki kwanza kisha ngono ikitokea tu! hili likienda kwa stahili hii hata mkiachana mnaweza kurudia urafiki wenu.
 
Pole sana mkuu!

Mimi huyu Dada niliyomuacha k wa mbwembwe nyingi nimekutana naye Jana nilitamani kama ardhi ipasuke nitumbukie maana ilikuwa ni aibu na machungu.
Maumivu yake balaa ila ndio hivyo unajifunza..Unapotezea yanaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…