Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamenikuta
Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta
tatizo mapenzi ya watu wengi huwa yanaanza na kutakana (kubadilishana vikojoleo vyao) hawaanzi urafiki kwanza matokeo yake wakimwagana kila kitu kinasambaratika! inatakiwa uanze urafiki kwanza kisha ngono ikitokea tu! hili likienda kwa stahili hii hata mkiachana mnaweza kurudia urafiki wenu.
Kukutana na yule uliyemuacha kwa mbwembwe nyingi akiwa anameremeta "ameshine" mara elfu zaidi ya ulivyokuwa nae(Yaani wewe ni kama ulikuwa unamzeesha tu) Halafu wewe umefwafwanzika!
Yamemenikuta