Ze Rock
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 270
- 563
Wana JF,
Hivi katika kukuza na kujitangaza ktk utalii wetu hasa kwa watu wa nje, wa ndani nitarejea tena itakuwa topic inayojitegemea.
Hivi ni vigumu sana kuwasiliana na Club kubwa kubwa duniani zenye mashiko ktk nyaza/ medani za kimichezo zinazo tazamwa zaidi duniani kuwashawishi waje wapate mapumziko kidogo hata pale Serengeti na viunga vyake tukazidi kutengeneza headlines duniani na hapo naona kama tutakuwa tumefanya jambo flan (Ikumbukwe najaribu kutoa general view, mikakati kwa jinsi gani Wahusika wapo wanaweza ona mbali zaidi na kujua nini wanaweza fanya).
Pia wageni Mashuhuri wanaotutembelea kwa shughuli mbali mbali katika Taifa letu, Wakiwasili wapelekwe japo kwenye ma-snake park hivi hii itazidi kutuwakilisha vema huko nje yaani kila mgeni mashuhuri akija tunatumia fursa kujitangaza kwenye nyanja za kitalii kimtindo flan hivi very technically!
Watumishi wa MUNGU katika nyanja zote za dini (Dini zote) wakaungana kwa pamoja wakawa na trip tour za pamoja kutembelea moja ya vivutio vikubwa kwa vidogo kwanza wakitambulisha Tanzania ni nchi yenye Amani, upendo na yenye vivutio adimu na watu wake ni wakarimu sana.
Wakiwa huko pia wanapiga na dua/maombi kwa Taifa letu ili Taifa letu lizidi kudumisha amani, upendo, mshikamano na liwe Taifa lenye hali ya kupenda kufanya kazi na kuwajibika kwa mujibu wa sheria, Pia liwe Taifa lenye kumtumaini MUNGU pia katika nyanja tofauti tofauti.
Viongozi wetu pia wapate kamda kidogo kutembelea siyo tu mpaka uzinduzi fulani fulani.
Ongezeni mawazo.
Naamini wachangiaji wana mawazo mazuri pia karibuni.
#KwaFaidaYaTaifaLetu
#MawazoChanya
View attachment 1761231View attachment 1761230
Hivi katika kukuza na kujitangaza ktk utalii wetu hasa kwa watu wa nje, wa ndani nitarejea tena itakuwa topic inayojitegemea.
Hivi ni vigumu sana kuwasiliana na Club kubwa kubwa duniani zenye mashiko ktk nyaza/ medani za kimichezo zinazo tazamwa zaidi duniani kuwashawishi waje wapate mapumziko kidogo hata pale Serengeti na viunga vyake tukazidi kutengeneza headlines duniani na hapo naona kama tutakuwa tumefanya jambo flan (Ikumbukwe najaribu kutoa general view, mikakati kwa jinsi gani Wahusika wapo wanaweza ona mbali zaidi na kujua nini wanaweza fanya).
Pia wageni Mashuhuri wanaotutembelea kwa shughuli mbali mbali katika Taifa letu, Wakiwasili wapelekwe japo kwenye ma-snake park hivi hii itazidi kutuwakilisha vema huko nje yaani kila mgeni mashuhuri akija tunatumia fursa kujitangaza kwenye nyanja za kitalii kimtindo flan hivi very technically!
Watumishi wa MUNGU katika nyanja zote za dini (Dini zote) wakaungana kwa pamoja wakawa na trip tour za pamoja kutembelea moja ya vivutio vikubwa kwa vidogo kwanza wakitambulisha Tanzania ni nchi yenye Amani, upendo na yenye vivutio adimu na watu wake ni wakarimu sana.
Wakiwa huko pia wanapiga na dua/maombi kwa Taifa letu ili Taifa letu lizidi kudumisha amani, upendo, mshikamano na liwe Taifa lenye hali ya kupenda kufanya kazi na kuwajibika kwa mujibu wa sheria, Pia liwe Taifa lenye kumtumaini MUNGU pia katika nyanja tofauti tofauti.
Viongozi wetu pia wapate kamda kidogo kutembelea siyo tu mpaka uzinduzi fulani fulani.
Ongezeni mawazo.
Naamini wachangiaji wana mawazo mazuri pia karibuni.
#KwaFaidaYaTaifaLetu
#MawazoChanya
View attachment 1761231View attachment 1761230