Katika kuelekea uchumi wa viwanda naona kama VETA ndio inatukwamisha

Wazolee

JF-Expert Member
Sep 1, 2018
2,699
3,088
Ninapo fikiria uchumi wa viwanda nagundua kuwa VETA ndio ina tukwa misha yani hawajui majukumu yao

VETA mnatakiwa mtengeneze mashine tofauti ili wajasilia mali waje kununua wazalishe bizaa

Kwa mfano mimi ni mjasiliamali nataka nifanye biashara ya kuchonga vijiti vya kuchomea mishikaki ili nikawa uzie wachoma mishikaki

Siwezi kuchonga hivyo vijiti na mikono nitachonga vingapi?
Nahitaji mashine ya kuchonga hivyo vijiti niinunue nitafute malighafi ambayo ni miti
nizalishe nikauze sasa mashine za mnahi VETA ndio wanatakiwa watengeneze kisha wawauzie wajasilia mali

Watanzania vichwa vyetu vimelala sana yani tukiona pamba stick kutoka China na sisi tunataka tutengeneze kama zilivyo
Wakati tunatakiwa kwanza tufikirie kutengeneza mashine itakayo sokata hizo pamba katika stick

Sijui mnanielewa yani ninacho kisema kama kweli tunataka uchumi wa viwanda basi VETA wanatakiwa watengeneze mashine mbali mbali kisha wawaite wajasilia mali wazinunue wakazalishe hizo bizaa

Kwa hiyo VETA msipo kuna vichwa na Serikali isipo wekeza VETA basi uchumi wa viwanda tutausikia katika Bomba
Na kuishia kuchonga viatu vya mataili ya gali kwa mikono na kuuza kariakoo
 
Ninapo fikiria uchumi wa viwanda nagundua kuwa VETA ndio ina tukwa misha yani hawajui majukumu yao

VETA mnatakiwa mtengeneze mashine tofauti ili wajasilia mali waje kununua wazalishe bizaa

Kwa mfano mimi ni mjasiliamali nataka nifanye biashara ya kuchonga vijiti vya kuchomea mishikaki ili nikawa uzie wachoma mishikaki

Siwezi kuchonga hivyo vijiti na mikono nitachonga vingapi?
Nahitaji mashine ya kuchonga hivyo vijiti niinunue nitafute malighafi ambayo ni miti
nizalishe nikauze sasa mashine za mnahi VETA ndio wanatakiwa watengeneze kisha wawauzie wajasilia mali

Watanzania vichwa vyetu vimelala sana yani tukiona pamba stick kutoka China na sisi tunataka tutengeneze kama zilivyo
Wakati tunatakiwa kwanza tufikirie kutengeneza mashine itakayo sokata hizo pamba katika stick

Sijui mnanielewa yani ninacho kisema kama kweli tunataka uchumi wa viwanda basi VETA wanatakiwa watengeneze mashine mbali mbali kisha wawaite wajasilia mali wazinunue wakazalishe hizo bizaa

Kwa hiyo VETA msipo kuna vichwa na Serikali isipo wekeza VETA basi uchumi wa viwanda tutausikia katika Bomba
Na kuishia kuchonga viatu vya mataili ya gali kwa mikono na kuuza kariakoo
Veta wanatoa elimu ya ufundi, hawatengenezi mashine. Lile shirika la viwanda kidogo (sido) nafikiri ndio kwa asilimia 100 linahusika.
 
Ninapo fikiria uchumi wa viwanda nagundua kuwa VETA ndio ina tukwa misha yani hawajui majukumu yao

VETA mnatakiwa mtengeneze mashine tofauti ili wajasilia mali waje kununua wazalishe bizaa

Kwa mfano mimi ni mjasiliamali nataka nifanye biashara ya kuchonga vijiti vya kuchomea mishikaki ili nikawa uzie wachoma mishikaki

Siwezi kuchonga hivyo vijiti na mikono nitachonga vingapi?
Nahitaji mashine ya kuchonga hivyo vijiti niinunue nitafute malighafi ambayo ni miti
nizalishe nikauze sasa mashine za mnahi VETA ndio wanatakiwa watengeneze kisha wawauzie wajasilia mali

Watanzania vichwa vyetu vimelala sana yani tukiona pamba stick kutoka China na sisi tunataka tutengeneze kama zilivyo
Wakati tunatakiwa kwanza tufikirie kutengeneza mashine itakayo sokata hizo pamba katika stick

Sijui mnanielewa yani ninacho kisema kama kweli tunataka uchumi wa viwanda basi VETA wanatakiwa watengeneze mashine mbali mbali kisha wawaite wajasilia mali wazinunue wakazalishe hizo bizaa

Kwa hiyo VETA msipo kuna vichwa na Serikali isipo wekeza VETA basi uchumi wa viwanda tutausikia katika Bomba
Na kuishia kuchonga viatu vya mataili ya gali kwa mikono na kuuza kariakoo
mashine ya kuchonga hivyo vijiti na toothpick ni million 60.Kama una hiyo hela nitafute
 
Hapo chini milestones kuelekea industrial revolution enzi hizo; historia inayoishia 1944 (WWII). Hebu tujitafakari tupo wapi na hadithi zetu za uchumi wa viwanda. Source: Timeline: Events and inventions during the Industrial Revolution

1694 - First Central Bank established in England

1712 - Thomas Newcomen invented the first productive steam engine.

1719 - John Lombe starts his silk factory

1733 - James Kay invented the Flying Shuttle, a simple weaving machine.

1764 - James Hargreaves invented the Spinning Jenny, which allowed one worker to spin eight spindles

1769 - Richard Arkwright invented the water frame, which hooked up spinning machines to a water wheel.

1769 - James Watt patented his revision of the steam engine, featuring a separate condenser.

1774 - Samuel Crompton invented the spinning mule which combined spinning and weaving into one machine.

1776 - Adam Smith published The Wealth of Nations.

1781 - Watt adapts his steam engine from a reciprocal to a rotary motion.

1785 - Edmund Cartwright invented the power loom, which, after 1800 was powered by new steam engines. Replaced the flying shuttle.

1785 - Henry Cort invented highly successful iron refining techniques.

1790 - Carkwright changes his huge factories over from water power to steam engines.

1799 - Combination Acts make it illegal in England for workers to unionize in order to bargain for higher pay or better working conditions.

1800 - 10 million tons of coal mined in Great Britain.

1801 - Richard Trevithick drives the Cornish “puffer” steam powered locomotive down the street of Camborne, England.

1811 - Luddite Rebellion begins.

1812 - Parliament passes law making it illegal by penalty of death to destroy industrial machines.

1813 - 14 Luddites hanged in Manchester after a rushed one-day trial.

1816 - George Stephenson patented a steam engine locomotive that ran on rails.

1825 - Stephenson commissioned to construct a 30-mile railway from Liverpool to Manchester.

1829 - Stephenson’s Rocket wins the speed contest on the new Liverpool to Manchester railroad. 51 miles of railroad track in Great Britain and the entire world.

1832 - Sadler Committee investigates child labor in factories and issues report to Parliament.

1833 - The first Factory Act provides first small regulation of child labor in textile factories.

1834 - Poor Law created “poorhouses” for the destitute.

1835 - 106,000 power looms operating in Great Britain.

1844 - Friedrich Engels publishes his observations of the negative effects of industrialization in The Condition of the Working-Class in England.

1848 - British government sets up the General Board of Health to investigate sanitary conditions, setting up local boards to ensure safe water in cities.

1848 - Karl Marx and Friedrich Engels published The Communist Manifesto.

1849 - 10,000 people die in three months in London from Cholera epidemic.

1849 - 6,031 miles of railroad track in Great Britain.

1875 - Public Health Act gives government responsibility to ensure public health for housing and sewage.

1880 - Education Act made school compulsory for children up to age 10.

1890 - 90% of all ships in the world are built in Great Britain.

1890 - 35,00 miles of railroad track in Great Britain.

1901 - This Factory Act raised the minimum work age to 12 years old.

1905 - 236 million tons of coal mined in Great Britain.

1918 - Education Act made school compulsory for children up to age 14.

1944 - English government mandates and funds compulsory education for all citizens through age 18.
 
Hivi mkuu na wewe unacheza mdundo wa ngoma anayopiga Jiwe?Utajengaje uchumi wa viwanda pasipo kuboresha rasilimali watu?
 
Ninapo fikiria uchumi wa viwanda nagundua kuwa VETA ndio ina tukwa misha yani hawajui majukumu yao

VETA mnatakiwa mtengeneze mashine tofauti ili wajasilia mali waje kununua wazalishe bizaa

Kwa mfano mimi ni mjasiliamali nataka nifanye biashara ya kuchonga vijiti vya kuchomea mishikaki ili nikawa uzie wachoma mishikaki

Siwezi kuchonga hivyo vijiti na mikono nitachonga vingapi?
Nahitaji mashine ya kuchonga hivyo vijiti niinunue nitafute malighafi ambayo ni miti
nizalishe nikauze sasa mashine za mnahi VETA ndio wanatakiwa watengeneze kisha wawauzie wajasilia mali

Watanzania vichwa vyetu vimelala sana yani tukiona pamba stick kutoka China na sisi tunataka tutengeneze kama zilivyo
Wakati tunatakiwa kwanza tufikirie kutengeneza mashine itakayo sokata hizo pamba katika stick

Sijui mnanielewa yani ninacho kisema kama kweli tunataka uchumi wa viwanda basi VETA wanatakiwa watengeneze mashine mbali mbali kisha wawaite wajasilia mali wazinunue wakazalishe hizo bizaa

Kwa hiyo VETA msipo kuna vichwa na Serikali isipo wekeza VETA basi uchumi wa viwanda tutausikia katika Bomba
Na kuishia kuchonga viatu vya mataili ya gali kwa mikono na kuuza kariakoo
Veta kuna utaratibu wa ushirikishwaji wa waajiri na wenye viwanda katika kuandaa mtaala wa kufundishia, jaribu kuandika proposal yako kisha wapelekee uone watakwambiaje kabla ya kuanza kulalamika humu.
 
Veta kuna utaratibu wa ushirikishwaji wa waajiri na wenye viwanda katika kuandaa mtaala wa kufundishia, jaribu kuandika proposal yako kisha wapelekee uone watakwambiaje kabla ya kuanza kulalamika humu.
Inaonekana we ni mdau pale VETA
Hiyo mitala yao wanayo ianda kujifunza kukarabati bidha zilizo tengenezwa nje na kuletwa hapa nchini haina faida kwetu

Tunahitaji aidia mpya na watutengenezee mitambo mipya ya kuzalisha biza mbalimbali ndio kazi yao

Sio wanakusanya watoto wanawafundisha kutengeneza magali ya kupanga gia leo kesho wajapani wanatoa magali automatic
 
Veta wanatoa elimu ya ufundi, hawatengenezi mashine. Lile shirika la viwanda kidogo (sido) nafikiri ndio kwa asilimia 100 linahusika.
SIDO ni karakana tu ugunduzi na michoro ya mashine mpya ni kazi ya VETA
 
Hapo chini milestones kuelekea industrial revolution enzi hizo; historia inayoishia 1944 (WWII). Hebu tujitafakari tupo wapi na hadithi zetu za uchumi wa viwanda. Source: Timeline: Events and inventions during the Industrial Revolution

1694 - First Central Bank established in England

1712 - Thomas Newcomen invented the first productive steam engine.

1719 - John Lombe starts his silk factory

1733 - James Kay invented the Flying Shuttle, a simple weaving machine.

1764 - James Hargreaves invented the Spinning Jenny, which allowed one worker to spin eight spindles

1769 - Richard Arkwright invented the water frame, which hooked up spinning machines to a water wheel.

1769 - James Watt patented his revision of the steam engine, featuring a separate condenser.

1774 - Samuel Crompton invented the spinning mule which combined spinning and weaving into one machine.

1776 - Adam Smith published The Wealth of Nations.

1781 - Watt adapts his steam engine from a reciprocal to a rotary motion.

1785 - Edmund Cartwright invented the power loom, which, after 1800 was powered by new steam engines. Replaced the flying shuttle.

1785 - Henry Cort invented highly successful iron refining techniques.

1790 - Carkwright changes his huge factories over from water power to steam engines.

1799 - Combination Acts make it illegal in England for workers to unionize in order to bargain for higher pay or better working conditions.

1800 - 10 million tons of coal mined in Great Britain.

1801 - Richard Trevithick drives the Cornish “puffer” steam powered locomotive down the street of Camborne, England.

1811 - Luddite Rebellion begins.

1812 - Parliament passes law making it illegal by penalty of death to destroy industrial machines.

1813 - 14 Luddites hanged in Manchester after a rushed one-day trial.

1816 - George Stephenson patented a steam engine locomotive that ran on rails.

1825 - Stephenson commissioned to construct a 30-mile railway from Liverpool to Manchester.

1829 - Stephenson’s Rocket wins the speed contest on the new Liverpool to Manchester railroad. 51 miles of railroad track in Great Britain and the entire world.

1832 - Sadler Committee investigates child labor in factories and issues report to Parliament.

1833 - The first Factory Act provides first small regulation of child labor in textile factories.

1834 - Poor Law created “poorhouses” for the destitute.

1835 - 106,000 power looms operating in Great Britain.

1844 - Friedrich Engels publishes his observations of the negative effects of industrialization in The Condition of the Working-Class in England.

1848 - British government sets up the General Board of Health to investigate sanitary conditions, setting up local boards to ensure safe water in cities.

1848 - Karl Marx and Friedrich Engels published The Communist Manifesto.

1849 - 10,000 people die in three months in London from Cholera epidemic.

1849 - 6,031 miles of railroad track in Great Britain.

1875 - Public Health Act gives government responsibility to ensure public health for housing and sewage.

1880 - Education Act made school compulsory for children up to age 10.

1890 - 90% of all ships in the world are built in Great Britain.

1890 - 35,00 miles of railroad track in Great Britain.

1901 - This Factory Act raised the minimum work age to 12 years old.

1905 - 236 million tons of coal mined in Great Britain.

1918 - Education Act made school compulsory for children up to age 14.

1944 - English government mandates and funds compulsory education for all citizens through age 18.
Historia hii inadhihirisha kwamba makaa ya mawe na chuma vilikuwa nyenzo muhimu katika maendeleo ya viwanda vya nguo na usafiri wa reli Uingereza. Bongoland tunaanza na reli badala ya makaa ya mawe na chuma kule kusini!
 
Tatizo Tanzania ukiwa mbunifu unatupwa gerezani. Mi natamani niweke aidia yangu ya silaha ya kisasa ila sina muda wa kwenda kufyatua matofali na mateke juu.
Waendelee kuagiza kila kitu tu, hata Samaki,dagaa, mchele na vinginevyo.
 
Ilitakiwa serikali itangaze mitambo ya viwanda kodi free kabisa ili watu wafate mitambo China kuliko kufata bidhaa kila kukicha baada ya muda bidhaa zingekua zinazalishwa hapa hapa Nchini.
SiDo wana uwezo wa kutengeneza hiyo mitambo
 
Historia hii inadhihirisha kwamba makaa ya mawe na chuma vilikuwa nyenzo muhimu katika maendeleo ya viwanda vya nguo na usafiri wa reli Uingereza. Bongoland tunaanza na reli badala ya makaa ya mawe na chuma kule kusini!
Wakianza na Chuma rushwa wataikosa na muda wa uongozi ni mfupi hivyo bora waagize tu. Mid**ti hawa.
 
Historia hii inadhihirisha kwamba makaa ya mawe na chuma vilikuwa nyenzo muhimu katika maendeleo ya viwanda vya nguo na usafiri wa reli Uingereza. Bongoland tunaanza na reli badala ya makaa ya mawe na chuma kule kusini!
Absolutely! Almost every milestone ni "invented"; "published"; "adapted"; hadi raha. Tulitakiwa, kama ni kujenga reli kwanza iwe ni reli ya kwenda migodini kubeba makaa ya mawe na chuma na sio reli na madege ya "kifahari"; waingereza hawakuanza hivyo.
 
Inaonekana we ni mdau pale VETA
Hiyo mitala yao wanayo ianda kujifunza kukarabati bidha zilizo tengenezwa nje na kuletwa hapa nchini haina faida kwetu

Tunahitaji aidia mpya na watutengenezee mitambo mipya ya kuzalisha biza mbalimbali ndio kazi yao

Sio wanakusanya watoto wanawafundisha kutengeneza magali ya kupanga gia leo kesho wajapani wanatoa magali automatic
Kuna utaratibu Maalum wa kuitwa wadau kama nyinyi katika kuandaa mitaala ya kufundishia je unalifahamu hilo na ulishawahi shiriki?
 
Ilitakiwa serikali itangaze mitambo ya viwanda kodi free kabisa ili watu wafate mitambo China kuliko kufata bidhaa kila kukicha baada ya muda bidhaa zingekua zinazalishwa hapa hapa Nchini.
Mi naamini tanzania ya viwanda ilikuwa ni move ya kisiasa na sio uhalisia

Coz sikuona sera na mikakati ili kukamilisha hivyo viwanda zaidi ya porojo tu! Za majukwaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom