Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

Huyo mwnyekiti wa CCM anaweza yote kila mtu anajua alivyoingia kwa njia ya umafia kwa mtandao aliokuwa ameutandaza ndani ya chama na serikalini kama atafanikiwa heri yake lakini asipotengeneza mchoro wake vizuri inaweza kula kwake CCM ikasambaratika ndani ya mikono yake ,majeruhi ni wengi na kwa vile wanajua mbinu zake nadhani anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…