Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,823
Kwa ushauri tu, usiweke malengo ya miaka 50 ijayo; hutokuwepoSijafikiria kufa bado
Umeweka kumbu kumbu kwenye kitabu cha mtaaKufumaniwa sitasahau mtaa mzma walijua
Watu watauliza ulikuja duniani kufanya nini?Mimi nitaacha alama ya kuuliza
Wataishi kwa kujitafutia au utakuwa umewawekea msingi?Watoto
AtakuwepoKwa ushauri tu, usiweke malengo ya miaka 50 ijayo; hutokuwepo
😂😂 Ulipona kweli.....Kufumaniwa sitasahau mtaa mzma walijua
Messi kaacha alama uwanjani. mzabzab naye ataacha alama kwenye vitabu vya nyumba ya wageni wenyeji. From Dar to DarMaisha ya mwanadamu ni mafupi sana, na ni bahati sana kufikisha miaka 80 na kuendelea.
Lakini ni vizuri pia kuacha kumbukumbu (alama) kwa wanaobaki; ili kutambua mchango wako katika jamii husika.
Ingawa aimaanishi kuacha alama au kutokuacha alama, kutarejesha uhai wako tena, bali ni kuweka ile hali ya jamii kutambua mchango wako.
Mi alama nitakayoiacha ni hizi nyuzi zangu; je wewe utaacha alama gani?
Nb: Ukitaka watu wote waishe duniani, wazuie watu wasizae kabisa kuanzia sasa; baada ya miaka 50 kutakuwa na watu wa kuhesabika
Na huyu apa Equation xMessi kaacha alama uwanjani. mzabzab naye ataacha alama kwenye vitabu vya nyumba ya wageni wenyeji. From Dar to Dar
Mfano sasa hivi ana miaka 40+, hiyo 50 ijayo ataipata wapi?Atakuwepo
Nakazia apaAtakuwepo
Inabidi na wewe uache alamaccm kila siku wanaacha alama ya kubaka uchaguzi