Katika hatua za kukabiliana na Corona, Rais Magufuli anafaa kujengewa sanamu pale WHO

Jiang Ze Dong

JF-Expert Member
May 28, 2020
314
851
Salaam wanabodi tuendelee kuchukua tahadhari kuhusu Corona.

Kwa hakika Rais Magufuli aliona mbali sana licha ya mataifa makubwa kuchukua tahadhari na kuamua kuwafungia raia wao ndani na baadhi ya nchi za afrika kuanza kuiga hatua zilizochukuliwa na mataifa makubwa kiuchumi.

Wengi walitarajia Tanzania ingefuata mkumbo lakini Dunia ilishangaa Tanzania kupitia raisi wetu Magufuli kutokufuata mkumbo na kuamua kuufunulia ulimwengu juu ya udhaifu juu ya vipimo vya kupimia virusi vya Corona dunia ikaanza kufanya uchunguzi wakagundua kweli.

Rais aliwaambia watanzania wamuombe Mungu ili atuponye na majanga haya akasisitiza hakuna lockdown licha ya watu wachache walioukua wanatumiwa na mabeberu kupiga kelele wakitaka watu wafungiwe ndani huku wakijua jambo hilo linaathari kubwa sana hasa ukizingatia hali halisi ya watanzania lakini raisi alisisitiza watu wachape kazi huku akieleza hali ya ugonjwa imepungua huku akiahidi kufungua vyuo.

Dunia haikuamini lakin kweli vyuo vikafunguliwa na maisha yanaendelea na Dunia yote aliofanya Magufuli na wao wameiga ila wanaona aibu kumpongeza Magufuli huu ndo wakati umefika tujivunie kuwa na kiongozi mwenye maono ya mbali leo hii mataifa makubwa yanaruhusu watu waende kanisani na msikitini wamuombe Mungu Corona iishe hakika watanzania tujivunie kuwa na Magufuli

Nawasilisha..
 
Jamani huyu ndo Raisi tuliekua tunamsubiri, Raisi shupavu na mwenye uthubutu.. Nashindwa kuelewa Wizara ya fedha inangoja Nini juu ya hili.. fedha zitengwe sanamu lijengwe tuendelee kutembea kifua mbele!!
 
Ajengewe sanamu kwenye ardhi ya mabeberu.!? no way

Kama inabidi ijengwe basi iwe Serengeti ama juu ya mlima Kilimanjaro au hata pale Addis Ababa yaliko makao makuu ya AU
 
Salaam wanabodi tuendelee kuchukua tahadhari kuhusu Corona.

Kwa hakika raisi Magufuli aliona mbali sana licha ya mataifa makubwa kuchukua tahadhari na kuamua kuwafungia raia wao ndani na baadhi ya nchi za afrika kuanza kuiga hatua zilizochukuliwa na mataifa makubwa kiuchumi.

Wengi walitarajia Tanzania ingefuata mkumbo lakini Dunia ilishangaa Tanzania kupitia raisi wetu Magufuli kutokufuata mkumbo na kuamua kuufunulia ulimwengu juu ya udhaifu juu ya vipimo vya kupimia virusi vya Corona dunia ikaanza kufanya uchunguzi wakagundua kweli.

Raisi aliwaambia watanzania wamuombe Mungu ili atuponye na majanga haya akasisitiza hakuna lockdown licha ya watu wachache walioukua wanatumiwa na mabeberu kupiga kelele wakitaka watu wafungiwe ndani huku wakijua jambo hilo linaathari kubwa sana hasa ukizingatia hali halisi ya watanzania lakini raisi alisisitiza watu wachape kazi huku akieleza hali ya ugonjwa imepungua huku akiahidi kufungua vyuo.

Dunia haikuamini lakin kweli vyuo vikafunguliwa na maisha yanaendelea na Dunia yote alofanya Magufuli na wao wameiga ila wanaona aibu kumpongeza Magufuli huu ndo wakati umefika tujivunie kuwa na kiongozi mwenye maono ya mbali leo hii mataifa makubwa yanaruhusu watu waende kanisani na mskitini wamuombe mungu Corona iishe hakika watanzania tujivunie kuwa na Magufuli

Mawasilisha..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kutofuata maelekezo ya WHO ya kuzuia kuenea kwa coronavirus, Jiwe is eligible for ICC prosecution for crime against humanity!


As codified in Article 7 of the ICC Statute, the following acts are punishable as crimes against humanity when perpetrated by a state actor as part of a systematic or widespread attack against a civilian population:

The intent requirement for liability is "knowledge of the attack."

Chagua wewe anafit wapi!o_Oo_Oo_O
 
😂😂😂😂

Salaam wanabodi tuendelee kuchukua tahadhari kuhusu Corona.

Kwa hakika raisi Magufuli aliona mbali sana licha ya mataifa makubwa kuchukua tahadhari na kuamua kuwafungia raia wao ndani na baadhi ya nchi za afrika kuanza kuiga hatua zilizochukuliwa na mataifa makubwa kiuchumi.

Wengi walitarajia Tanzania ingefuata mkumbo lakini Dunia ilishangaa Tanzania kupitia raisi wetu Magufuli kutokufuata mkumbo na kuamua kuufunulia ulimwengu juu ya udhaifu juu ya vipimo vya kupimia virusi vya Corona dunia ikaanza kufanya uchunguzi wakagundua kweli.

Raisi aliwaambia watanzania wamuombe Mungu ili atuponye na majanga haya akasisitiza hakuna lockdown licha ya watu wachache walioukua wanatumiwa na mabeberu kupiga kelele wakitaka watu wafungiwe ndani huku wakijua jambo hilo linaathari kubwa sana hasa ukizingatia hali halisi ya watanzania lakini raisi alisisitiza watu wachape kazi huku akieleza hali ya ugonjwa imepungua huku akiahidi kufungua vyuo.

Dunia haikuamini lakin kweli vyuo vikafunguliwa na maisha yanaendelea na Dunia yote alofanya Magufuli na wao wameiga ila wanaona aibu kumpongeza Magufuli huu ndo wakati umefika tujivunie kuwa na kiongozi mwenye maono ya mbali leo hii mataifa makubwa yanaruhusu watu waende kanisani na mskitini wamuombe mungu Corona iishe hakika watanzania tujivunie kuwa na Magufuli

Mawasilisha..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaam wanabodi tuendelee kuchukua tahadhari kuhusu Corona.

Kwa hakika raisi Magufuli aliona mbali sana licha ya mataifa makubwa kuchukua tahadhari na kuamua kuwafungia raia wao ndani na baadhi ya nchi za afrika kuanza kuiga hatua zilizochukuliwa na mataifa makubwa kiuchumi.

Wengi walitarajia Tanzania ingefuata mkumbo lakini Dunia ilishangaa Tanzania kupitia raisi wetu Magufuli kutokufuata mkumbo na kuamua kuufunulia ulimwengu juu ya udhaifu juu ya vipimo vya kupimia virusi vya Corona dunia ikaanza kufanya uchunguzi wakagundua kweli.

Raisi aliwaambia watanzania wamuombe Mungu ili atuponye na majanga haya akasisitiza hakuna lockdown licha ya watu wachache walioukua wanatumiwa na mabeberu kupiga kelele wakitaka watu wafungiwe ndani huku wakijua jambo hilo linaathari kubwa sana hasa ukizingatia hali halisi ya watanzania lakini raisi alisisitiza watu wachape kazi huku akieleza hali ya ugonjwa imepungua huku akiahidi kufungua vyuo.

Dunia haikuamini lakin kweli vyuo vikafunguliwa na maisha yanaendelea na Dunia yote alofanya Magufuli na wao wameiga ila wanaona aibu kumpongeza Magufuli huu ndo wakati umefika tujivunie kuwa na kiongozi mwenye maono ya mbali leo hii mataifa makubwa yanaruhusu watu waende kanisani na mskitini wamuombe mungu Corona iishe hakika watanzania tujivunie kuwa na Magufuli

Mawasilisha..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumbu za Lumumba mmeanzisha uzi halafu mna comment wenyewe.
Yaani mnajitia vidole wenyewe halafu mnacheka
IMG-20200529-WA0013.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kutofuata maelekezo ya WHO ya kuzuia kuenea kwa coronavirus, Jiwe is eligible for ICC prosecution for crime against humanity!


As codified in Article 7 of the ICC Statute, the following acts are punishable as crimes against humanity when perpetrated by a state actor as part of a systematic or widespread attack against a civilian population:

The intent requirement for liability is "knowledge of the attack."

Chagua wewe anafit wapi!o_Oo_Oo_O
Mzee wa MIGA
 
Back
Top Bottom