Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,954
Unapouliza swali kwa kimombo unapaswa uanze na "is this....". Acha kufikiria kwa Kiswahili na kuandika kwa Kiingereza ugoko. Unakera....If yes, this is the meaning of being independent?...
Itapendeza.matayarisho ya 2020 haya - mpaka ikifika upinzani wamesambaratika na wako hoi
Kamsahihishe kwanza mwenyekiti wako asiejua hata kiswahili kabla ya kukurupuka!Unapouliza swali kwa kimombo inapaswa uanze na "is this....". Acha kufikiria kwa Kiswahili na kuandika kwa Kiingereza ugoko. Unakera.
Acha kukasirika wewe. Jisahihishe tu, huo ndio uungwana.Kamsahihishe kwanza mwenyekiti wako asiejua hata kiswahili kabla ya kukurupuka!
HahahahaUnapouliza swali kwa kimombo unapaswa uanze na "is this....". Acha kufikiria kwa Kiswahili na kuandika kwa Kiingereza ugoko. Unakera.
Wewe unachekesha sana na hujaanza leo kuishia kwa kuvizia.Acha kukasirika wewe. Jisahihishe tu, huo ndio uungwana.