Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mpanda, Jacob Nkomola, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za uchochezi na kuhamasisha vijana kuandamana hadi nyumbani kwa Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mpanda, Padri Patrick Kasomo ili wamvue joho la kichungaji na kumpiga, kwa kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao wa kiroho.
HabariLeo.
HabariLeo.