Afya na uhai wa watu hautasubiri taarifa zenu za urasimu,uongo na unafiki.
Sisi tuko field ivyo tukiona hali ni mbaya tunasema hatutasubiri alie ofisini aje kutusemea.
Serikali tangu mwanzo imeonyesha kutojali kuhusu korona na bado iko kwenye denial state wakati ndugu zetu wanakufa,kwenye suala la afya na uhai tusiwe watumwa wa sheria na taratibu za kijinga tulizotunga wenyewe kwa lengo ovu la kuficha ukweli.