Katibu wa Bavicha Iringa Mjini, Vitus Nkuna aachiwa huru bila masharti yoyote

Tusiwe wajinga wa kusubiria wajinga watupatie taarifa tunapokuwa na uhakika kuna tatizo.

Magufuli muda mwingi alikuwa akiwadanganya na kuwapotosha watu wengi kwa habari za uwongo, ikiwa ni pamoja na kuwadanganya watu kuwa corona haipo, imetoweka baada ya maombi ya siku 3. Na wajinga wengi waliamini, na madhara yake ikawa ni kwa baadhi ya wenzetu kupoteza wapendwa wao.

Tunataka Taifa la watu wanaoangalia, wanaochambua, wanaodadisi, na wanaoweza kupinga kwa kauli thabiti hata kama huyo aliyesema uwongo ni Rais.

Ifahamike kuwa kwa taarifa ya CAG, zaidi ya 60% ya watumishi wa Serikali, hawanauwezo na weledi unaotakiwa kwa kazi wanazofanya, na wengi ni wenye akili ndogo na wanafiki. Ukiwafuata viongozi kama hao, utaangamia.
 
KUNA UBAYA GANI KATIKA HIYO POST YAKE? HAPO ILIKUWA NI WAHUSIKA KUFUATILIA TAARIFA, BASI! SERIKALI IKITAKA KUPAMBANA NA WATOA TAARIFA ITAPOTEZA MUDA NA KUJINYIMA FURSA YA KUPATA TAARIFA!
 
Wewe kuna kitu cha maana umepungukiwa.

Mtu kuwa mgonjwa, unyeti wa taarifa hiyo unatoka wapi? Tusiendekeze uwendawazimu wa kuamini kuwa mtu akiteuliwa, akatupiwa kacheo fulani basi ana akili, ana ubinadamu na uwezo wa kuona na kufikiri kuwazidi wengine.

Hawa wateule wa Rais, wengi wao tunawafahamu, tunajua walivyo watupu wa fikra na maarifa. Ukiwasubiria hawa wateule ambao kwa taarifa ya CAG, 60% yao hawana uwezo wa nafasi walizokabidhiwa, utapotea.

Tatizo kubwa la nchi hii, hata kuwa na maendeleo duni, kwa kiasi kikubwa ni kuwa na viongozi ambao wana uwezo mdogo wa akili, ubunifu mdogo, maarifa hakuna, na uadilifu zero. Wengi ni wanafiki, hawajitambui wapo Duniani kwaajili ya nini. Wanabakia wakati wote kusujudia na kufikiria wajipendekeze kwa namna gani kwa anayewateua.
 
Waziri wa afya kasema kanda ya ziwa na kilimanjaro hali ya Covid-19 ni mbaya. Inabidi naye akamatwe kwani Shinyanga kama sikosei ipo kanda ya ziwa pia.
 
Sasa wewe kwa vile akili zako umeshikiwa huwezi , lakini wenye akili huru hawako hivyo
yaani huu ni ushabibi wa kisenge sana kila kitu kina utaratibu wake utakuwaje msemaji wa hospitali wakati hata udaktari huujui? acheni ushabiki wa kijing anamna hiyo bavicha washamba sana
 
yaani huu ni ushabibi wa kisenge sana kila kitu kina utaratibu wake utakuwaje msemaji wa hospitali wakati hata udaktari huujui? acheni ushabiki wa kijing anamna hiyo bavicha washamba sana
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Afya na uhai wa watu hautasubiri taarifa zenu za urasimu,uongo na unafiki.

Sisi tuko field ivyo tukiona hali ni mbaya tunasema hatutasubiri alie ofisini aje kutusemea.
Serikali tangu mwanzo imeonyesha kutojali kuhusu korona na bado iko kwenye denial state wakati ndugu zetu wanakufa,kwenye suala la afya na uhai tusiwe watumwa wa sheria na taratibu za kijinga tulizotunga wenyewe kwa lengo ovu la kuficha ukweli.
 
Uko field basi tushajiishe humu ndani tuwe radhi kuchomwa CHANJO pale zitakapofika.....

#KaziIendelee
 
Yaani hili suala la CORONA linabebwa KISIASA ?!!!!!

Huyo ndg.wa Chadema si msemaji wa hospitali....
Wewe wajuaje Kama labda wapo ndugu na jamaa zake wamelazwa pale,? Yule sio kichaa mpaka kutoa taarifa , lazima tupambane wote KWA pamoja katika janga la corona, ILIHALI umetoa taarifa yenye ukweli,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…