ASKOFU MSAIDIZI
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 209
- 23
Leo saa nne Askofu David Mwasota anaongea na Waandishi wa Habari eneo la Makuburi kasani kwake juu ya Mkutano wa Jumapili utakaofanyika Mnazo mmoja.
Wakati huohuo leo saa saba Jukwaa la Wakristo wanaongea na Media eneo la Rutha House Wao wanatoa ufafanuzi juu ya Kauli ya Kikwete kuhusu Suala la Kuchinja.
Issue ni kwamba Kauli ya Kikwete inawaposha Waumini kuwa Maaskofu wamekubali kuwa Waislam wachinje sasa wanatoa ufafanuzi
Source: Naioth Gospel Assembly (0713 417427)
Wakati huohuo leo saa saba Jukwaa la Wakristo wanaongea na Media eneo la Rutha House Wao wanatoa ufafanuzi juu ya Kauli ya Kikwete kuhusu Suala la Kuchinja.
Issue ni kwamba Kauli ya Kikwete inawaposha Waumini kuwa Maaskofu wamekubali kuwa Waislam wachinje sasa wanatoa ufafanuzi
Source: Naioth Gospel Assembly (0713 417427)