Kama unatoa pole toa pole kwa familia ya marehemu. Kama unataka kuleta mada au topic juu ya Mrema na TLP lete fresh topic tuchangie.Tangulia John Komba, nenda Komba, msalimie IMRAN KOMBE, salimie wapiganaji wote, heri Mungu wa mbinguni kakuepusha na fadhaa ya karne , inayonyemelea chama chako cha TLP kupitia A.L. Mrema. amewasaliti Watanzania wenzake, manamageuzi, wapinaji, na wale wote waliomwamini tangu ajiunge na kundi la watetezi wa mali ya UMMA miaka ya 90.
kapumzike Komba, salimia wote huko peponi kama utaionja.
Pumzika kwa amani milele yote.
ndimi Nguvumali.
RIP Komba.