Katibu mkuu wa CHADEMA kemea ukambale huu

Kigodoro

JF-Expert Member
Apr 25, 2014
1,660
1,679
Ndani ya chadema kila mtu ni kambale. By Duni Haji.

Maana ya kauli hii ni kwamba "ndani ya chadema hakuna nidhamu".

Aliyasema maneno hayo babu Duni alipokuwa akirejea rasmi ktk chama chake baada ya kuwa ndani ya CHADEMA kwa miezi kadhaa. Ni dhahiri aliyaona mengi ndiyo maana akahitimisha kwa kauli hiyo ambayo hadi leo haijatolewa tamko lolote na viongozi wa ngazi ya juu ya CHADEMA.

Naandika uzi huu baada ya kuona uzi humu ndani unaoeleza kuwa mbunge viti maalumu (CHADEMA), Mhe. Ruth Mollel analaumu maamuzi na msimamo wa chama chake kutohudhuria vikao vinavyoongozwa na NS. Huu ni ukambale.

Mbona CUF wametupa pesa zao ktk uchaguzi wa 2015 na ulipofutwa wakasusa kushiriki ule wa marudio. Wametoa sadaka nafasi zao za uwakilishi (ubunge) kwa maslahi mapana ya ustawi wa demokrasia Zanzibar. Hatujamsikia si mwakilishi ama diwani akitoa kauli kama za Ruth Mollel. Ni kweli ndani ya CHADEMA kuna ukambale.

Kwa hili katibu mkuu fungua mlango wa ofisi yako toka nje ulikemee. Vinginevyo ukambale huu utaharibu si tu msimamo wa chama chako juu ya NS, bali pia taswira ya chama chako miongoni mwa jamii.

Chama lazima kiwe na msimamo hata kama kimekosea lazima muulinde msimamo wenu. Vinginevyo mtaonekana wakurupukaji.
 
Ruth anapaswa kupata karipio kali mara moja ili asiendelee kupanda mbegu chafu chamani!
 
Huyu mbunge wampe barua ya onyo Kali la barua
Demokrasia ni pamoja na kupokea mawazo na mtazamo tofauti..tunailaum CCM maana wanasimamia maslah ya chama zaid kuliko wananchi*Rejea mtazamo wa Ole Medeye akihamia UDP alisema Chama cha CCM hutoa msimamo kwa wabunge wake waseme nini bungeni...je MNATAKA CHADEMA NAYO IWE HIVYO????? TOENI UHURU WA KUONGEA NA KUTOA MAWAZO TOFAUTI KAMA CHAMA KILIVYO JINA LAKE. ..DEMOKRASIA. ..Ruth Mollel ana haki hiyo bila kushurutishwa!!!!! SIS WANANCHI TUNAONA MSIMAMO HUO WA KUKACHA BUNGE NI MAKOSA..SIYO SAHIHI..MWACHEN RUTH ATUSEMEE.....JITOFAUTISHENI NA CCM Plse!!!!! Ubunge ni uhuru
 
Ndani ya chadema kila mtu ni kambale. By Duni Haji.

Maana ya kauli hii ni kwamba "ndani ya chadema hakuna nidhamu".

Aliyasema maneno hayo babu Duni alipokuwa akirejea rasmi ktk chama chake baada ya kuwa ndani ya chadema kwa miezi kadhaa. Ni dhahiri aliyaona mengi ndiyo maana akahitimisha kwa kauli hiyo ambayo hadi leo haijatolewa tamko lolote na viongozi wa ngazi ya juu ya chadema.

Naandika uzi huu baada ya kuona uzi humu ndani unaoeleza kuwa mbunge viti maalumu (chadema), mhe. Ruth Mollel analaumu maamuzi na msimamo wa chama chake kutohudhuria vikao vinavyoongozwa na NS. Huu ni ukambale.

Mbona cuf wametupa pesa zao ktk uchaguzi wa 2015 na ulipofutwa wakasusa kushiriki ule wa marudio. Wametoa sadaka nafasi zao za uwakilishi (ubunge) kwa maslahi mapana ya ustawi wa demokrasia Zanzibar. Hatujamsikia si mwakilishi ama diwani akitoa kauli kama za Ruth Mollel. Ni kweli ndani ya chadema kuna ukambale.

Kwa hili katibu mkuu fungua mlango wa ofisi yako toka nje ulikemee. Vinginevyo ukambale huu utaharibu si tu msimamo wa chama chako juu ya NS, bali pia taswira ya chama chako miongoni mwa jamii.

Chama lazima kiwe na msimamo hata kama kimekosea lazima muulinde msimamo wenu. Vinginevyo mtaonekana wakurupukaji.
Kwa hiyo chadema mnataka kuminya democrasia ya wanachama kutoa maoni yao??

Anyway zidumu fikra za mfalme Mbowe
 
Ninaamini msimamo huo haukuenda kama agizo kwa wabunge. Walikaa wakajadili na kuazimia kwa pamoja kufanya hivyo. Yawezekana wakiwa ktk kikao cha kufanya maamuzi hayo hakukubaliana, lkn kama wengi walikubali ndiyo demokrasia hiyo. Ktk demokrasia tunasema wengi wape.

Vinginevyo ni utovu wa nidhamu

Demokrasia ni pamoja na kupokea mawazo na mtazamo tofauti..tunailaum CCM maana wanasimamia maslah ya chama zaid kuliko wananchi*Rejea mtazamo wa Ole Medeye akihamia UDP alisema Chama cha CCM hutoa msimamo kwa wabunge wake waseme nini bungeni...je MNATAKA CHADEMA NAYO IWE HIVYO????? TOENI UHURU WA KUONGEA NA KUTOA MAWAZO TOFAUTI KAMA CHAMA KILIVYO JINA LAKE. ..DEMOKRASIA. ..Ruth Mollel ana haki hiyo bila kushurutishwa!!!!! SIS WANANCHI TUNAONA MSIMAMO HUO WA KUKACHA BUNGE NI MAKOSA..SIYO SAHIHI..MWACHEN RUTH ATUSEMEE.....JITOFAUTISHENI NA CCM Plse!!!!! Ubunge ni uhuru
 
Kwa hiyo chadema mnataka kuminya democrasia ya wanachama kutoa maoni yao??

Anyway zidumu fikra za mfalme Mbowe

Mbowe kwa vyovyote vile alikaa na wabunge wa chama chake wakajadili na kwa kauli moja wakaweka msimamo huo. Moja ya nguzo za demokrasia ni wengi wape. Kama yeye Ruth hakukubaliana lkn wengi wamekubali basi akubali kutii msimamo wa wengi.
 
Waliochoshwa Na siasa za maigizo ya Mbowe ni wengi , huyo ametangulizwa tu wengi wapo nyuma yake.

Kama wamechoshwa wanapaswa kupinga ktk vikao na siyo nje ya vikao. Kupinga nje ya vikao ni ukambale. Mbona CUF hakuna upuuzi huu?
 
CUF wanajielewaa zaidi mkuu tofauti na unavyowaelewaa ww hilo chama halina kwere
Kama wamechoshwa wanapaswa kupinga ktk vikao na siyo nje ya vikao. Kupinga nje ya vikao ni ukambale. Mbona CUF hakuna upuuzi huu?
 
Huyu Ruth molell alikua katibu mkuu katika serikali zilizopita, amezoea posho, tutaandaa maandamano ya kumfukuza CHADEMA arudi CCM
 
Demokrasia ni pamoja na kupokea mawazo na mtazamo tofauti..tunailaum CCM maana wanasimamia maslah ya chama zaid kuliko wananchi*Rejea mtazamo wa Ole Medeye akihamia UDP alisema Chama cha CCM hutoa msimamo kwa wabunge wake waseme nini bungeni...je MNATAKA CHADEMA NAYO IWE HIVYO????? TOENI UHURU WA KUONGEA NA KUTOA MAWAZO TOFAUTI KAMA CHAMA KILIVYO JINA LAKE. ..DEMOKRASIA. ..Ruth Mollel ana haki hiyo bila kushurutishwa!!!!! SIS WANANCHI TUNAONA MSIMAMO HUO WA KUKACHA BUNGE NI MAKOSA..SIYO SAHIHI..MWACHEN RUTH ATUSEMEE.....JITOFAUTISHENI NA CCM Plse!!!!! Ubunge ni uhuru
Arudi CCM ndiko kunamfaaa.
 
Ninaamini msimamo huo haukuenda kama agizo kwa wabunge. Walikaa wakajadili na kuazimia kwa pamoja kufanya hivyo. Yawezekana wakiwa ktk kikao cha kufanya maamuzi hayo hakukubaliana, lkn kama wengi walikubali ndiyo demokrasia hiyo. Ktk demokrasia tunasema wengi wape.

Vinginevyo ni utovu wa nidhamu
Na hicho ndicho kinawafanya mnaonekana kuwa na NDIMI MBILI...SURA MBILI.....
Hebu jiulize....CCM WANAPOAMUAGA KUWA NA MSIMAMO MMOJA KUPITISHA KILA KITU KWA NDIO HUWA HAWAAFIKIANI KWENYE VIKAO???? WENGI HUWA HAWAKUBALIANI NA HIVYO KUWA MSIMAMO WA CHAMA????
AU UTARATIBUB HUO UKIPITISHWA CCM UNAITWA SHETANI LKN UKITUMIKA CHADEMA UNAITWA MALAKA(DEMOKRASIA????)
Watu wazima wanapoitazama Chadema hata kama alikuwa na nia ya kukuza upinzani wanakuwa disappointed kwa sababu ya UNAFIKI ULIPJIFICHA KTK DEMOKRASIA HIYO!!!!!! Kwamba mwingine kuku akinya ni sahihi lkn bata akinya kunaitwa kuharisha!!!!!
UTOFAUTI WENU NA CCM NI KTK LIPI??? Kwa nn na ninyi msionekane watapia mlo tu kisiasa? ??
 
Back
Top Bottom