Katibu Mkuu wa CCM huyu hapa

Katibu Mkuu wa CCM huyu hapa

CCM haina mtu msafi mkuu na wala haitokaa atokee mtu msafi ndani ya CCM. Huwezi kuwa msafi na mtu wa kanuni ukadumu CCM. Labda kama sielewi maana ya mtu msafi
CCM ndio kisima cha watu wasafi ingawa na wachafu hawakosekani. Viongozi wa juu wa sasa ni wasafi mpaka chenji inabaki. Kiongozi wao Samia sijaona waa lolote mpaka sasa, Kinana zaidi ya uzushi ni msafi, Hussein Mwinyi sihitaji kusema lolote kila mtu anamwona, ni mtu msafi hana mashaka yoyote. Viongozi wazuri wako CCM ndugu.
 
Wanajificha wapi sasa wasionekane na huo usafi wao?! Naomba uwataje na uonyeshe waliposimamia kwa dhati na kwa .maslahi mapana ya nchi zaidi ya kundi fulani.
Nikisema niorodheshe hapa hapatatosha hata kidogo.
 
Back
Top Bottom