Katibu mkuu wa CCM awasili mkoani Iringa kwa ziara ya siku sita

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
3,099
630
Leo Mh. Katibu Mkuu wa CCM Kinana ameanza ziara ya Siku sita katika Mkoa wa Iringa. Hii ni katika
kuimarisha chama na pia kuangalia kazi zinazofanywa na Serikali chini ya CCM.

Nawasihi vijana wenzangu wa Mkoa wa Iringa kumpatia Mh.Kinana Ushirikiano wa kutosha katika
ziara yake hiyo. Iringa Mjini najua mlikosea wakuu, lakini mwakani sio mbali Jimbo litarudi Nyumbani.

115.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozanana viongozi wa CCM mkoa wa Iringa Kulia Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Hassan Mtenga. mara baada ya kuwasili mkoani Iringa.

55.jpg
Mbunge wa jimbo la Isimani Mh. William Lukuvi kushoto akiwa na Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asas na mbunge wa viti maalum Iringa Mh. Ritha Kabati.

47.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Kilolo Mh.Prof. Peter Msola mara baada ya kuwasili mkoani Iringa asubuhi hii tayari kwa kuendelea na ziara yake mkoani humo.
142.jpg
Katinu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimshukuru Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asas ambaye amejitolea kukarabati ofisi ya CCM mkoa wa Iringa.
122.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuzindua jengo jipya la oisi ya CCM wilaya ya Iringa lililokarabatiwa na Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asaspamoja na Mbunge wa jimbo la Isimani Mh. William Lukuvi.

01.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwa katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kalenga, Iringa Vijini, walipoanza ziara ya siku sita za kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za watu na kuzitafutia ufumbuzi.Katika mkutano huo Kinana aliitaka Serikali kuandaa utaratibu mzuri wa kuwatafutia soko la uhakika wakulima.

IMG_8659.JPG
 
Vijana wangu wa Green Guard hongereni sana, naona mko imara kumpatia Ulinzi Madhubuti Katibu Mkuu.
 
Mi namuhurumia huyu msomali kila anapokwenda mikoani anakutana na matatizo ya wananchi na waliosababisha ni ccmsipati picha
 
Mi namuhurumia huyu msomali kila anapokwenda mikoani anakutana na matatizo ya wananchi na waliosababisha ni ccmsipati picha

Na serekali iliyopo madadrakani ni ya kwao sasa sijui anawadanganya nini wananchi.
 
Leo Mh. Katibu Mkuu wa CCM Kinana ameanza ziara ya Siku sita katika Mkoa wa Iringa. Hii ni katika
kuimarisha chama na pia kuangalia kazi zinazofanywa na Serikali chini ya CCM.

Nawasihi vijana wenzangu wa Mkoa wa Iringa kumpatia Mh.Kinana Ushirikiano wa kutosha katika
ziara yake hiyo. Iringa Mjini najua mlikosea wakuu, lakini mwakani sio mbali Jimbo litarudi Nyumbani.

115.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozanana viongozi wa CCM mkoa wa Iringa Kulia Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu na kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Hassan Mtenga. mara baada ya kuwasili mkoani Iringa.

55.jpg
Mbunge wa jimbo la Isimani Mh. William Lukuvi kushoto akiwa na Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asas na mbunge wa viti maalum Iringa Mh. Ritha Kabati.

47.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Kilolo Mh.Prof. Peter Msola mara baada ya kuwasili mkoani Iringa asubuhi hii tayari kwa kuendelea na ziara yake mkoani humo.
142.jpg
Katinu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimshukuru Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asas ambaye amejitolea kukarabati ofisi ya CCM mkoa wa Iringa.
122.jpg
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuzindua jengo jipya la oisi ya CCM wilaya ya Iringa lililokarabatiwa na Kamanda wa vijana mkoa wa Iringa Ndugu Salim Abri Asaspamoja na Mbunge wa jimbo la Isimani Mh. William Lukuvi.

Hugo aliyeninginiza kamera no tbc! T v nyingine hawawez kufanya ujinga huo
 
ccm chama cha kipumbavu,walaghai tu,wanaendesha nchi kama putin,haina dira,kama bendera fuata upepo file.
 
Kipimo utakiona ktk Uchaguzi wa serikali Za mitaa. Kama wananchi wanaipenda ccm au chadema. Tusubiri tusiandikie mate, majibu tutayapata, tusitukanane wala kupayuka, Sanduku la kura lipo!
 
Kipimo utakiona ktk Uchaguzi wa serikali Za mitaa. Kama wananchi wanaipenda ccm au chadema. Tusubiri tusiandikie mate, majibu tutayapata, tusitukanane wala kupayuka, Sanduku la kura lipo!

Watanzania wengi wanaipenda sana CCM!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom