Katibu Mkuu wa CCM aonekana kwenye Kampuni yenye kashfa nzito Tanzania ya OBC (funika kombe Mwanaharamu apite)

Watanzania hatujazaliwa kuwa wajinga muda wote kuna siku watu kama hawa watakuwa wanaongelea gerezani.
 
Hivi yuko wapi huyu vuvuzela!
 
Katibu Mkuu wa CCM akiwa na viongozi wa kampuni ya uwindaji ya OBC. Kampuni hiyo ina tuhuma lukuki ikiwemo kuchoma nyumba za wafugaji wa jamii ya kimasai Loliondo na kuua mifugo yao. OBC wametajwa pia ktk kashfa ya ujangili kwa mwavuli wa uwindaji.
Mmebakia na kuchafua watu tu.
Hivi una habari kwamba Lowassa ana hisa nyingi sana kwenye hiyo kampuni zinazosimamiwa na Mollel?Uliwasiliana nae kabla ya kuja kuharisha hapa.,usije ukakosa posho kwa kuanika kampuni ya bosi wako ukidhani unamchafua kinana
Au umetumwa ujaribu kumtisha Kigwangallah asiishughulie hiyo kampuni kwa mgongo wa kinana?
 

Taratiiiibuuu bosi..
Mbona hasira sana??
 
INAONEKANA KUNA MAMBO HUWA YANAKUWA MAGUMU HATA UWE KAMA JIWE NANMA GANI. MHE. MAGUFULI PAMOJA NA JUHUDI ZOTE NAONA HUKO KWENYE MALIASILI AMEGOMA KABISA KWENDA. HII KAMPUNI KILA MWAKA INA MOGOGORO NA WANANCHI NA RIPOTI NYNGI SANA IMESHATOLEWA KUHUSIANA NA KAMPUNI HII JINSI INAVYOKIUKA HAKI ZA BINADAMU. MIAKA KADHAA ILIYOPITA KAMA SIJASAHAU HADI KAMATI YA BUNGE ILISHAWAHI KUFIKA HUKO. YAELEKEA HAWA WAARABU WANATISHA SANA. NADHANI NI MUDA MUAFAKA KWA MHE. RAIS KUTIA TIMU HUKO MAANA HAWA AKINA KIGWANGWALA KWA JINSI HAWA JAMAA WANAVYOTISHA ANAWEZA KUVUNJIKA MSAMBA BURE.
 
Taratiiiibuuu bosi..
Mbona hasira sana??
Jielekeze kwenye hoja,hakuna hasira namjulisha tu kanjanja wako aache kukurupuka anamchanganya bosi wake.
Alikurupuka kutaja shule ghali,akasahau kuwa bosi wake anamiliki shule ghali alipostuliwa akatelekeza threa
 
Kuna watu wenye kashfa nzito zaidi ya lowassa na sumaye nchi hii na bado mmewakumbatia chadema!
 
Aisee kumbe mzee kinana anamiliki meli?
Nilikua nauliza tu. hakuna na hakutakuja kua na Mzalendo wa kweli nchi hii zaidi ya Mwl Julius Kambarage Nyerere.
Hao wazalendo wa Sasa ni wazalendo wa mdomoni tu.!
Wezi wakubwa.
 
Zoezi la kutoa vibali vipya liliahirishwa. Naamini hili unalijua vyema. Ebu tusubiri pale vibali vipya vitakapotolewa ndio tuhoji.
 
Kenya wako vizuri sana kwenye investigative journalist ila hapa TZ hatuna kabisa, japokuwa naona Mwanahabari huru mara nyingi anajitahidi.
Je Azonda amepatikana?
"Rasilimali zetu zipo salama chini ya Raisi Magufuli". Discuss
 
Kuna Mambo Yanatia Kinyaa Ila Acha Yafanyike Maana Wanaofanya Wana Kinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…