Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka amuombea kura mgombea udiwani kata ya Nkome wilaya Chato

Mondoros

JF-Expert Member
Aug 29, 2015
629
472
16194971_1760353497625665_9000333285580532668_n.jpg


Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) Leo amejumuika na wananchi viongozi pamoja na wanachama wa CCM kumuombea kura mgombea wa udiwani kwa tiketi ya CCM kata ya Nkome wilayani ya chato mkoa wa Geita ndg Masumbuko Nsembe Masumbuko katika mkutano uliofanyika katika kijiji cha Muhalanga . Aidha aliwapokea wanachama wapya kutoka CUF Chadema na ACT na baadae Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa alipata fursa ya kuzungumza na makundi vijana kwa nyakati tofauti kuelekea uchaguzi wa marejeo wa Jumapili 22 Januari.*
 
Vipi Geita hakuna wajumbe wa UVCCM mbona kiongozi wao kaingia bila kupokelewa na jeshi la polisi kwa ajili ya kulinda usalama wake?
 
Apeleke urojo darajani kwanza hao jamaa wamezoea hotuba nusu zikiwa kisukuma,hiyo nare nare yake hata hawamuelewi
Hakumuona jamaa majuzi
 
Back
Top Bottom