Weledi wa Dr Slaa hatuambiwa na chama bali utendaji wake hakukua na namna unaweza fichika.Sasa huyu jamaa ambae bavicha pekee ndio mnampigia debe kwamba ni mweledi wakati zao la weledi wake hauonekani,hii ndio faida ya kundi lote kuburuzwa na mjanja mmojaUnasemaje kiatu kimempwaya.
Katibu Mkuu wa Chadema na Chadema yenyewe ndio yenye wajibu wa kulinganisha nani zaidi ktk utekelezaji wa majukumu ya nafasi hiyo
Nakushauri tafuta kazi ya kufanya na kama huna nenda Kijijini ukatekeleze kauli ya Mhe Rais ya "Watu wakalime tu"
Yeye hana mzuka wa kutoa matamko??unafikiri katibu wetu ana akili za kushikiwa km akili zenu?
Wache wasome namba na hapo ndio watajua maana ya mbuzi kula mkekasiku hizi posho zimepungua km si kuisha kabisa mkuu, mshahara wa mwezi machi wenyewe wamelipwa majuzi, ni njaaa tu wanacho kifanya hivi sasa ni kutaka huruma waonekane wanajituma,
Hakika wanaisoma, maana kazi ya kujichetua na kupayuka payuka si ndogo, hadi rais akuone uwe umepayuka haswa,Wache wasome namba na hapo ndio watajua maana ya mbuzi kula mkeka
Makamba yupo kwao bumbuli na sijui kama mafuriko yamemuwacha salamaKinana na kile ki-Makamba wako wapi?
Hatuna desturi ya kuendeshwa na mizuka, mizuka ni huko lumumbaYeye hana mzuka wa kutoa matamko??
Mwenzao polepole kaitumia nyota ya mzee warioba vizuri sasa kachomokaHakika wanaisoma, maana kazi ya kujichetua na kupayuka payuka si ndogo, hadi rais akuone uwe umepayuka haswa,
Acheni unafiki ninyi watu, wakati huu ndo padri amekuwa na weledi? Hebu acha kutaka kuaminisha watu upuuzi kisa tumbo lakoWeledi wa Dr Slaa hatuambiwa na chama bali utendaji wake hakukua na namna unaweza fichika.Sasa huyu jamaa ambae bavicha pekee ndio mnampigia debe kwamba ni mweledi wakati zao la weledi wake hauonekani,hii ndio faida ya kundi lote kuburuzwa na mjanja mmoja
Nadhani nyie mnadesturi ya kuongozwa na mihemko, vile vile namuona kama vile anaogopa kuongea asije tema pumba akawaaibisha...Hatuna desturi ya kuendeshwa na mizuka, mizuka ni huko lumumba
Yupo kinondoni mtaa wa ufipaKutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?
Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.
Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
Pumba ipi ni bora zaidi ya...TFF ni TANZANIA FOOTBALL ASSOCIATION?Nadhani nyie mnadesturi ya kuongozwa na mihemko, vile vile namuona kama vile anaogopa kuongea asije tema pumba akawaaibisha...
Kwa bahati mbaya sana kila mchachokiongea ni pumba tuPumba ipi ni bora zaidi ya...TFF ni TANZANIA FOOTBALL ASSOCIATION?
Aya wahi lumumba ukachukue buku 7 yakoKatika Serikali hii isiyoamini katika migomo, maandamano, uwazi katika mijadala na badala yake ni kazi tu, Katibu Mkuu wa Chadema atazidi kupotea kabisa. No agenda no politics.
Kwa kuendelea kurohoja inaonyesha kuwa stroke imekuingia hata kwenye akili tayariKwa bahati mbaya sana kila mchachokiongea ni pumba tu
Mkuu katika maukawa ambayo hua yanaandika ili kujaza servers za JF wewe unashika bendera mkuu, unaandika sana lakini bahati mbaya sana kila unachokiandika ni pumba tu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi unaandika ujinga ujinga tu. Kafanye kazi nyingine mkuu, maana hii unayoipenda naona kama vile haikupendi sana, sijawahi kusoma lolote la maana toka kwako.Kwa kuendelea kurohoja inaonyesha kuwa stroke imekuingia hata kwenye akili tayari