TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,298
- 28,006
MM, M1 M2, M....! Ilikuwa kazi kipindi hicho...cha kumtafuta MM...we acha tu...ndiyo maana wakati mwingine nakubaliana na rais mstaafu wa awamu ya nne kuwa...huu ni upepo utapita...nikweli ulipita.CHADEMA wana hali mbaya sana! Dr slaa uko wapi uje uokoe jahazi?
kwani kinana yuko wapi?Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?
Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.
Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
Ulitaka awe media oriented kama wale wakukurupuka?(futuhi)Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?
Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.
Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
Amechukua likizo.... Hujasikia??Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?
Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.
Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.
hiyo semina elekezi anapewa na nani?Yupo ofisin kwake na muda mwingi kwa sasa anapewa semina elekezi . Uzur Katibu wetu mkuuu anajitambua hapendi sifa au ulikuwa unataka umuone akishtukiza kama hao viongoz wenu wa Lumumba.
kwa hiyo mmebahatika kupata katbu msomi kuliko mwenyekiti?Towe9i upumbavu funga bakuli zenu huyu ni msomi hawezi kukurupuka kama mlivyozoea mtu mzima kubilingita on stage vituko kwenu haviishi sasa msomi anakuja na stail mpya nyie mshaanza kudandia gari mbele tulieni sindano itawaingia vizuri. Endeleeni huko na wizi wa kinafiki, kula dagaa mchana usiku kuku eti ni kubana matumizi. mberf*
Uzuri wa wanaojitekenya wenyewe hapa na kucheka wenyewe ni magamba ya Lumumba wiki jana ilikuwa
lissu,,, wiki hii wamehamishia kwa Kwa
Dr Mashiji
wiki ijayo watarudi kumchambua Lowassa ,, wanajua Ccm imeshazikwa siku nyingi !!!
Na Huyu anayetipua Majipu badala ya kupambana na Ufisadi. Wanajua ni mwepesi kama nniii..
Simiyu Lizabon Hapa mbwembwe tuu !!
Kuna kitu inaitwa CIU achana nayo kabisa,who thought b4 tht S.l.a.a was a virusUzuri wa wanaojitekenya wenyewe hapa na kucheka wenyewe ni magamba ya Lumumba wiki jana ilikuwa
lissu,,, wiki hii wamehamishia kwa Kwa
Dr Mashiji
wiki ijayo watarudi kumchambua Lowassa ,, wanajua Ccm imeshazikwa siku nyingi !!!
Na Huyu anayetipua Majipu badala ya kupambana na Ufisadi. Wanajua ni mwepesi kama nniii..
Simiyu Lizabon Hapa mbwembwe tuu !!