Katibu Mkuu BAVICHA amshindilia kaa la moto Mwigulu Nchemba na Nape

Mwigullu na Nape hivi sasa ndo threat kubwa kwa CDM nini? mbona watu wadogo sana hawa inakuaje wawe tishio kiasi hiki, hapo SANGARA hawajaunguruma. Hakika CDM ni dhaifu, kila siku Nchema, Nape. Siyo vipaumbele vya maendeleo.

Hapo ndo level yako ya kufikiri ilipoishia siyo??? Hebu tupatie vipaumbele vya maendeleo vya hao unaowatetea!
 

Mkuu kwani CCM wao wanatufanyia nini vile???
Kutuua wananchi wake ili wao wabaki madarakani sio???
Au
Kuwabandikia wananchi kesi za uongo sio???
Au
Kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na wazungu pamoja na wahindi sio???
Au
Kuuza wanyama hai ughaibuni sio???
Orodha ni ndefu sana, give a break.
 

We kichaa nini?Utafanyaje kitu bla kumuondoa anayehamishia resources za kufaonyia kitu mifukoni mweka...ukivamiwa na mwizi utapambana na mwizi au utang'ang'ana kurudisha alivyoviiba ndana? oviasly utahakikisha mwizi anaangamia kwanza ndipo uhakikishe usalama wa mali zako...CDM ndo sisi wananchi,tunahakikisha mwizi (CCM)anaangamia ndipo turudishe mali zetu..
 
Wanalicheza Gwaride la Chadema pasi kutaka.
 
Wanalicheza Gwaride la Chadema pasi kutaka.

wamesahau kwamba ccm hakuna mtu anayetaka wananchi wanufaike. Tulipofikia ni pabaya sana, yaani mtu anaagiza wale wahadhili wanaoisema serikali waadhibiwe aafu anataka watafutwe wa kukisemea chama mahala pa kazi!! Kuisema serikali hakujaanza juzi tena siku hizi kumepungua kuliko kawaida!! Wamefikia hatua ya kutaka kuajiri watu kwa tiketi ya chama,hii ni kuonesha wameshindwa kutekeleza yote yanayofaa kwa nchi hii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…