Mwigullu na Nape hivi sasa ndo threat kubwa kwa CDM nini? mbona watu wadogo sana hawa inakuaje wawe tishio kiasi hiki, hapo SANGARA hawajaunguruma. Hakika CDM ni dhaifu, kila siku Nchema, Nape. Siyo vipaumbele vya maendeleo.
Hapo ndo level yako ya kufikiri ilipoishia siyo??? Hebu tupatie vipaumbele vya maendeleo vya hao unaowatetea!