Tunayo furaha kupokea ombi la katibu mkuu chama cha wenye ulemavu Tanzania mhe masamaki kuomba kujiunga na Chama Cha Ukombozi wa Umma-CHAUMMA. Alipoulizwa kwann amependa kuchukua uamuzi huo amesema ni falsafa ya UTU NA USAWA iliyojikitika katika misingi ya CHAUMMA. Hizi ndizo taarifa rasmi kutoka makao makuu CHAUMMA.