Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
- Thread starter
- #21
Umri wangu haukuhusu mbona hata lowassa ana mvi zisizo na busara kamanda lema alisemaUna umri wa miaka mingapi?
Umri wangu haukuhusu mbona hata lowassa ana mvi zisizo na busara kamanda lema alisemaUna umri wa miaka mingapi?
amekufanyia wewe?magufuli anapaswa kuongezewa muda kwa kazi nzuri aliyoifanya
watanzani wanyongeamekufanyia wewe?
Sent from my TECNO P5 using JamiiForums mobile app
Sijui anaogopa nini kutumia jina lake...nani atahangaika na kilaza kama yeye? Hao ndio wa kupewa Ukuu wa Mkoa na dikteta uchwara, anazo sifa zinazohitajika awamu hii!Tumia jina lako kamili mkuu.. ili tusije tukakusahau.. kwenye teuzi.. asante
Watanzania ni wapumbavu
Watanzania ni malofa
Kutoka kwa BWM
Hongera Mkapa kwa kutambua hili!
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Umeajiliwa lini kuwa msemaji wa CCM???
Anayo kufanyia wewe na wenzako! Usitake kumlazimisha kila mtu aamini unachoamini wewe!magufuli anapaswa kuongezewa muda kwa kazi nzuri aliyoifanya
nilipoona hayo maswali uliyomuuliza nkasema nisicoment kwanza nipitie page zote mbili nione kama atajibu,ni dhahiri kakimbia maswali yako mkuu,mtoa mada kupitia mawazo yake anaonesha kiumri mdogo na anafata mkumbo tu ila hajui anatetea nini.hawa watu wanasikitisha sana.Nishawishi kwa maelezo machache na kwa kutumia kamusi ya kiswahili fasaha kuwa maneno "nchi imevimba" ni uchochezi!
Na niambie neno "uchochezi" maana yake ni ipi au unalielewaje?
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Umeamua kutaja umri wako kwa namna hii?Umri wangu haukuhusu mbona hata lowassa ana mvi zisizo na busara kamanda lema alisema
jua me ni kijana wa kitanzania na ni msema kweliUmeamua kutaja umri wako kwa namna hii?
Kwa unavyo behave, naamini hata ujana bado hujaufikia. Na huo ndo ulikuwa msingi wa swali langu kwakojua me ni kijana wa kitanzania na ni msema kweli
Wewe itakua mpumbavu na lofa,nawe uhojiwe sambamba na lodilofa benJeshi la polisi linapaswa kumuhuji ikiwezekana kumfikisha mahakamani Katibu wa BAVICHA Bw. Julius Mwita kutokana na kauli zake za kichochezi alizozitoa wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari. Mfano wa kauli hizo ni "nchi inavimba uvimbe wa chuki na uvimbe wa uhasama" kauli nyingine ni nchi hii inavimba chuki kutokana na kauli za mh Rais. Polisi inabidi imshughulikie ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama zake za uchochezi.
[HASHTAG]#Amani[/HASHTAG] ni zawadi ya bure sana tuwachukie wanasiasa wenye kuhatarisha amani yetu.