Katiba pendekezwa haiuziki

Nikukumbushe

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
2,602
Reaction score
408
Hata wakitumia vyombo vya habari,bado katiba pendekezwa ni kama unauza gunia la bangi. Magazeti kama,habarileo,jamboleo, uhuru,mzalendo nk wandishi wengi wa magazeti haya ni makajanja pamoja na TBC watu hawayasomi wala kusikiliza TBCCM
 
Kama mimi nilisha sahau kama kuna gazeti la uhuru, radio uhuru, TBCCM.
 
Hata wakitumia vyombo vya habari,bado katiba pendekezwa ni kama unauza gunia la bangi. Magazeti kama uhuru,mzalendo nk pamoja na TBC watu hawayasomi wala kusikiliza TBCCM

wanawategemea viongozi wa shina na kuwagawia walalahoi fulana na kanga kama mrungura.
 
Waipeleke zanzibar waone cha mtema kuni
 
Yaani kama unafanya biashara haramu,wengi wa wanaccm akijulikana kuwa yeye ni gamba wanaufyata.....Wtz wa leo sio wale wa enzi za "maisha bora kwa kila mtanzania" enzi za ari mpya,kasi mpya na nguvu mpya ya ufisadi
 
Hata wakitumia vyombo vya habari,bado katiba pendekezwa ni kama unauza gunia la bangi. Magazeti kama uhuru,mzalendo nk pamoja na TBC watu hawayasomi wala kusikiliza TBCCM
Kwa jibu jepesi na sahihi, tuite tu kuwa, katiba ya Sitta na mzee wa vijisenti imebuma!
 
Zanzibar mbali kote huko nimemwagia maji mahal kuku wangu wanapo atamia mpaka huo muda ufike ntakuwa mayai viza kama 9000 hiv? Yanatosha kwa kuanzia
Waipeleke zanzibar waone cha mtema kuni
 
Hata wakitumia vyombo vya habari,bado katiba pendekezwa ni kama unauza gunia la bangi. Magazeti kama uhuru,mzalendo nk pamoja na TBC watu hawayasomi wala kusikiliza TBCCM

Kama haiuziki basi itanunuliwa na CCM kwa pesa za IPTL, USWISS, GESI, kama wafu na meghji walipiga kura kupitisha katiba pendekezwa,katiba itapita!
 
Wanaweza kufanya haya yote,lakini utakuwa mwanzo mpya wa kudai katiba mpya.
Kama haiuziki basi itanunuliwa na CCM kwa pesa za IPTL, USWISS, GESI, kama wafu na meghji walipiga kura kupitisha katiba pendekezwa,katiba itapita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…