Katiba Mpya ya Kenya: For cross-reference purposes

Katiba Mpya ya Kenya: For cross-reference purposes

copy and paste ni kilema cha kizazi kipya!Kenya sio Tanzania na wakenya sio watanzania!tuandae katiba yetu bila kudesa.
 
Big up too Tanzania. We Kenyans are the pace setters in East and Central Africa.
 
A! Tunashukuru kutupa nakala ya Katiba ya wenzetu! Lakini ya faida gani kama yetu inaandikwa na wenye shida maalum? Acha tu wapate wanachokitaka, wengine hata lugha tunayoisikia mitaani inabainisha kuwa ni ya kubana wanaodhaniwa wenye haki za ukubwa wasithubutu hata kujulikana haki zao kwa kupitia njia halali za wenye sifa za ukubwa. Ukimtaja tu jina mtu kama huyo unakufa. Kolimba alimjua mmoja wao wakahakikisha hatasema milele.Tanzania imo mikononi mwa wenye mihadarati, tutaandika Katiba yetu watakapoondoka, hata Colombia karibu wanakwisha itakuwa Tz?
 
ni kweli, ukakaksi wetu mkubwa ni kwenye huu unaoitwa Muungano
copy and paste ni kilema cha kizazi kipya!Kenya sio Tanzania na wakenya sio watanzania!tuandae katiba yetu bila kudesa.
 
copy and paste ni kilema cha kizazi kipya!Kenya sio Tanzania na wakenya sio watanzania!tuandae katiba yetu bila kudesa.
Nafikiri jamaa ameomba mtizame humo ndani kama kuna kitu cha kupendeza wala si copy and paste. Hata sisi hapa Kenya ilibidi tusome katiba za nchi zingine na pamoja na maoni ya wananchi.
 
Nafikiri jamaa ameomba mtizame humo ndani kama kuna kitu cha kupendeza wala si copy and paste. Hata sisi hapa Kenya ilibidi tusome katiba za nchi zingine na pamoja na maoni ya wananchi.
Hiyo ni ninyi kenya!Kawaida yenu kucopy na kupaste from UK au USA!
Ni bora akatuwekea ya UK au USA for cross reference.
 
Hiyo ni ninyi kenya!Kawaida yenu kucopy na kupaste from UK au USA!Ni bora akatuwekea ya UK au USA for cross reference.
Skiliza msomi, sisi tuliangalia katiba hadi ya Brazil na hata Urusi, yaani dunia nzima, wacha upumba na ukubali kuna mambo mengi hayafai re-inventing.
 
Hiyo ni ninyi kenya!Kawaida yenu kucopy na kupaste from UK au USA!
Ni bora akatuwekea ya UK au USA for cross reference.

Katiba ya Kenya ni miongoni mwa Katiba bora Afrika. Katiba hiyo imelinda haki za binadamu, utunzwaji na uendelezwaji na ugawaji wa rasilimali, ... Katiba za Afrika Kusini na Ghana pia zina sifa hizo.
 
copy and paste ni kilema cha kizazi kipya!Kenya sio Tanzania na wakenya sio watanzania!tuandae katiba yetu bila kudesa.

TZ c kisiwa pio vibaya kujifunza kwa wengine
 
Back
Top Bottom