Katiba mpya - Pendekezo mbadala

Katiba mpya - Pendekezo mbadala

mwanandugu

Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
44
Reaction score
9
Kama tunataka kujenga muungano imara, tunapaswa kuwa na rais mmoja tu, yaani yule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu kila upande wa muungano uongozwe na mawaziri wakuu. Mmoja aunde serikali ya Tanganyika na mwingine aunde serikali ya Zanzibar. Viongozi hawa watatu (yaani rais na mawaziri wakuu wawili) watachaguliwa na wananchi. Na watakuwa chini ya mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya muungano.
Suala hili halitaizua Zanziba kuwa nchi kulingana na katiba yake. Nafikiri kwamba huu ndiyo mwarobaini pekee wa malumbano yanayoendelea katika bunge maalum la katiba mpya. Au mnasemaje ndugu zangu watanzania ?
 
Kama tunataka kujenga muungano imara, tunapaswa kuwa na rais mmoja tu, yaani yule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu kila upande wa muungano uongozwe na mawaziri wakuu. Mmoja aunde serikali ya Tanganyika na mwingine aunde serikali ya Zanzibar. Viongozi hawa watatu (yaani rais na mawaziri wakuu wawili) watachaguliwa na wananchi. Na watakuwa chini ya mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya muungano.
Suala hili halitaizua Zanziba kuwa nchi kulingana na katiba yake. Nafikiri kwamba huu ndiyo mwarobaini pekee wa malumbano yanayoendelea katika bunge maalum la katiba mpya. Au mnasemaje ndugu zangu watanzania ?
Wakuu wa nchi washirika si lazima waitwe marais, mbona hata wakuu wa mikoa ni kama marais tu katika maeneo yao? Hata hawa si lazima waitwe marais! Wangeweza kuwa hata governers wa maeneo wanayotoka. Swala ndo wakuu wa nchi washirika.
 
Kama tunataka kujenga muungano imara, tunapaswa kuwa na rais mmoja tu, yaani yule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu kila upande wa muungano uongozwe na mawaziri wakuu. Mmoja aunde serikali ya Tanganyika na mwingine aunde serikali ya Zanzibar. Viongozi hawa watatu (yaani rais na mawaziri wakuu wawili) watachaguliwa na wananchi. Na watakuwa chini ya mamlaka ya Rais wa Jamhuri ya muungano.
Suala hili halitaizua Zanziba kuwa nchi kulingana na katiba yake. Nafikiri kwamba huu ndiyo mwarobaini pekee wa malumbano yanayoendelea katika bunge maalum la katiba mpya. Au mnasemaje ndugu zangu watanzania ?

Kwa pendekezo lako kaka liko safi sana.Hii itasaidia sana na makamu wa raisi atatoka upande mwingine wa muungano ambao haukutoa Raisi. Nadhani kama wabunge wangekuwa na bongo wangaliona hili na lingekuwa na logic ya kupunguza gharama ambazo wanaziona. kwa kuwa Waziri Mkuu ndo mtendaji wa shughuli zote za serikali. mawaziri wakuu hawa wachaguliwe kama raisi. wakuu wa mikoa wachaguliwe pia na wilaya ziwe ndo majimbo ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom