Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Kwanini Viongozi wengi waastaafu wanamiliki mashamba makubwa sana maeneo mbalimbali nchini na wananchi wa kawaida,wafugaji hawawa sehemu za kulima wala malisho? Angalia Arumeru,Mbalali,Mvomero,Kilindi,Handeni?
Nafikiri ni muhimu sasa kuingiza katika katiba mpya ukubwa wa shamba la kumilikiwa na mtu mmoja angalau usizidi ekari 100.
Nafikiri ni muhimu sasa kuingiza katika katiba mpya ukubwa wa shamba la kumilikiwa na mtu mmoja angalau usizidi ekari 100.