Jamani naambiwa hati mjadala wa rasmu ya kuundwa kwa tume ya kukusanya maoni itajadiliwa mwishoni mwa bunge hili,sasa kama mpango unaojadiliwa wa mipango hauoneshi bajeti ya katiba mpya huko tunapelekwa wapi,je haitaathiri malengo yetu
Jamani naambiwa hati mjadala wa rasmu ya kuundwa kwa tume ya kukusanya maoni itajadiliwa mwishoni mwa bunge hili,sasa kama mpango unaojadiliwa wa mipango hauoneshi bajeti ya katiba mpya huko tunapelekwa wapi,je haitaathiri malengo yetu
Unajua watanzania bado hawajaiva sana, ikiekwa pressure kidogo na Serikali na CCM kuanza kulalamika, wananchi wengi huamini ni vyema wakapatiwa muda kulishughulikia. Ndio maana kuna ukimya kidogo kuhusu hilo. Ikithibitika kuwa hakun la maana lililofanyika tutanza tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.