wana jf,nimekaa nikawaza jinsi ya kupunguza msongamano jijini dar na jinsi
ya kusambaza maendeleo nchi nzima na
nimekuja na mawazo yafuatayo;
1.katiba mpya itamke bayana kua,mji
mkuu wa tanzania ni dodoma na raisi wa
tanzania ataishi dodoma
2.makao makuu ya wizara yatakua mikoani
isipokuwa mawaziri katika ofisi ya rais,waziri mkuu,waziri wa fedha,wizara ya
mambo ya ndani na nje
NB.sio kila kitu lazima tuige kwa wazungu,
tunaweza kutengeneza mfumo wetu,
mtanzania yeyote anaweza kufanya marekebisho.Nawasilisha hoja!
ya kusambaza maendeleo nchi nzima na
nimekuja na mawazo yafuatayo;
1.katiba mpya itamke bayana kua,mji
mkuu wa tanzania ni dodoma na raisi wa
tanzania ataishi dodoma
2.makao makuu ya wizara yatakua mikoani
isipokuwa mawaziri katika ofisi ya rais,waziri mkuu,waziri wa fedha,wizara ya
mambo ya ndani na nje
NB.sio kila kitu lazima tuige kwa wazungu,
tunaweza kutengeneza mfumo wetu,
mtanzania yeyote anaweza kufanya marekebisho.Nawasilisha hoja!