Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Nimefatilia toka tuanze kujadili suala la katiba hapa JF na wale wanaoandika katika magazeti na hata kwenye runinga neno MAREKEBISHO ya katiba lina tumika sana.
umekuja muswada na wenyewe heading REVIEW-mapitio/marekebisho whatever!
Sasa hapa naona tunachanganyana,ingependeza kama tungelitumia muafaka kama muswada wa kuandika katiba mpya.
ili na tuanochangia ama kuandika habari kuhusu hilo tulitumie hilo na hata hao wanaoleta ujanja watuelewe kwamba tunamaanisha kuandika katiba mpya na si kuifanyia marekebisho katiba.
naomba kuwasilisha kwa maoni zaidi..
umekuja muswada na wenyewe heading REVIEW-mapitio/marekebisho whatever!
Sasa hapa naona tunachanganyana,ingependeza kama tungelitumia muafaka kama muswada wa kuandika katiba mpya.
ili na tuanochangia ama kuandika habari kuhusu hilo tulitumie hilo na hata hao wanaoleta ujanja watuelewe kwamba tunamaanisha kuandika katiba mpya na si kuifanyia marekebisho katiba.
naomba kuwasilisha kwa maoni zaidi..