wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Wakuu habari, bila kupoteza muda kwa miezi kadhaa sasa nimefanikiwa kuwa na mwanamke wa nje, na kwa sasa nimepata uzoefu ufuatao:
1. Sigombani gombani tena na mke wangu, hata kama akisema leo sikupatii papuch nimechoka basi siku hizi namchukulia poa tu namwacha na siku inapita kwa amani. Hali ilikuwa tofauti na zamani ambapo nikinyimwa papuchi na mke wangu nilikuwa mkali sana.
2. Nimekuwa nina amani sana na furaha kama mwanaume siku hizi, kumiliki wanawake wawili raha nyie, yaani unajiona kama mfalme vile.
3. Siku hizi sina uchu wa kuwatongoza wafanyakazi wangu wa ndani, siku hizi house girls nawachukulia poa tu, mambo ya kuwavamia bafuni au chumbani kwao au kuwatongoza nilishaacha kwa sababu kuna mtu mwingine anamsaidia mke wangu kingono hivyo natosheka kabisa.
4. Makasiliko kasiliko na mke wangu hakuna tena siku hizi, mwanaume nimetulia kimyaa.
Wito wangu, kama mke wako yuko bize sana na maisha au hana uwezo wa kukuridhisha kitandani au kama wewe unapenda sana kutongoza wafanyakazi wako wa ndani na ni jambo la aibu hili nikushauri tafuta mwanamke wa nje.
Mpange vizuri na tena umwambie kuwa wewe una mke wako lakini unataka kwake huduma tu basi utapata mpango wa kando na utatulia kabisa,muhimu usimpande mpango wa kando kausha damu wa kuomba hela kila saa, tafuta mwanamke mtulivu tulia nae huku unakula kimyakimya na kuhakikishia ndoa yako nyumbani itakuwa tulivu sana kama yangu siku hizi.
1. Sigombani gombani tena na mke wangu, hata kama akisema leo sikupatii papuch nimechoka basi siku hizi namchukulia poa tu namwacha na siku inapita kwa amani. Hali ilikuwa tofauti na zamani ambapo nikinyimwa papuchi na mke wangu nilikuwa mkali sana.
2. Nimekuwa nina amani sana na furaha kama mwanaume siku hizi, kumiliki wanawake wawili raha nyie, yaani unajiona kama mfalme vile.
3. Siku hizi sina uchu wa kuwatongoza wafanyakazi wangu wa ndani, siku hizi house girls nawachukulia poa tu, mambo ya kuwavamia bafuni au chumbani kwao au kuwatongoza nilishaacha kwa sababu kuna mtu mwingine anamsaidia mke wangu kingono hivyo natosheka kabisa.
4. Makasiliko kasiliko na mke wangu hakuna tena siku hizi, mwanaume nimetulia kimyaa.
Wito wangu, kama mke wako yuko bize sana na maisha au hana uwezo wa kukuridhisha kitandani au kama wewe unapenda sana kutongoza wafanyakazi wako wa ndani na ni jambo la aibu hili nikushauri tafuta mwanamke wa nje.
Mpange vizuri na tena umwambie kuwa wewe una mke wako lakini unataka kwake huduma tu basi utapata mpango wa kando na utatulia kabisa,muhimu usimpande mpango wa kando kausha damu wa kuomba hela kila saa, tafuta mwanamke mtulivu tulia nae huku unakula kimyakimya na kuhakikishia ndoa yako nyumbani itakuwa tulivu sana kama yangu siku hizi.