Kati ya Walimzunguka Mfalme na Kumsifu Alivyopendeza na ile Invisible Robe, na yule mtoto aliyemweleza ukweli, kuwa yuko, nani anamsaidia kweli?

Kati ya Walimzunguka Mfalme na Kumsifu Alivyopendeza na ile Invisible Robe, na yule mtoto aliyemweleza ukweli, kuwa yuko, nani anamsaidia kweli?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,722
Wanabodi

Baada ya Polepole kuandika barua ya kujiuzulu, niliandika Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?

Leo nimemsikiliza akiongea, naomba kuuliza , kuna ile simulizi ya mfalme kushonewa joho la invisible, halafu akajitokeza kwenye kadamnasi ya watu, kati ya walimzunguka Mfalme na kumsifu kwa nyimbo na mapambio huku wakimshangilia kwa kumpigia makofi, vifijo na nderemo kwa jinsi alivyopendeza na ile Invisible Robe yake mpya, na yule mtoto mdogo aliyemweleza ukweli, mfalme kuwa yuko uchi!, nani anamsaidia kweli?.

Sio mara moja wala mbili tunawalalamikia wasaidizi wa Mfalme wetu ambaye ni Malkia kuwa, wamwambie ukweli, kumwambia ukweli ndiko kumsaidia!.

Nilisema Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? Polepole ni shujaa, haogopi mtu, anamsaidia kwa kumweleza ukweli!.


Kama Polepole atasomwa kwa utuo, na kusikilizwa kwa utuo, ana hoja za msingi, na atalisaidia sana taifa!.

Tafakari

Paskali
 
Wanabodi

Baada ya Polepole kuandika barua ya kujiuzulu, niliandika Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?

Leo nimemsikiliza akiongea, naomba kuuliza , kuna ile simulizi ya mfalme kushonewa joho la invisible, halafu akajitokeza kwenye kadamnasi ya watu, kati ya walimzunguka Mfalme na kumsifu kwa nyimbo na mapambio huku wakimshangilia kwa kumpigia makofi, vifijo na nderemo kwa jinsi alivyopendeza na ile Invisible Robe yake mpya, na yule mtoto mdogo aliyemweleza ukweli, mfalme kuwa yuko uchi!, nani anamsaidia kweli?.

Sio mara moja wala mbili tunawalalamikia wasaidizi wa Mfalme wetu ambaye ni Malkia kuwa, wamwambie ukweli, kumwambia ukweli ndiko kumsaidia!.

Nilisema Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..? Polepole ni shujaa, haogopi mtu, anamsaidia kwa kumweleza ukweli!.

Kama Polepole atasomwa kwa utuo, na kusikilizwa kwa utuo, ana hoja za msingi, na atalisaidia sana taifa!.

Tafakari

Paskali
Tuendelee tu na mama wakuu, miaka mi 5 tano bado
 
Mama gana shida,shida ipo kwa walaji,aisee watamlinda kwa wivu mkubwa ASIWAPARE.Ikitokea akisema aachie ngazi,alee wajukuu akija mwingine atakuja na circle yake,sasa akina Mwigulu na wengineo waende wapi?
Ausee ngoja wamsufie hivyohivyo.
 
Ccm ni chama mfu bila
Tiss
Polisi
Mahakama
Tume ya uchaguzi
Msajili wa vyama
Wale wepesi tu.
Wazee wa incumbent advantage

GT-NV-TXUAEA8nr.jpeg
 
Ameweka mabango kila kona ya nchi yakimuumbia sifa, amegawa pikipiki, baiskeli na majiko yenye picha yake. mwambie ukweli huku kitaani hapendwi .. tofauti na mtangulizi wake aligusa nyoyo za watanzania .. itabaki katika kumbukumbu jinsi watu 45 walivyokufa kwa mkanyagano wakiomboleza msiba wake pale kwa Mkapa..
 
Ameweka mabango kila kona ya nchi yakimuumbia sifa, amegawa pikipiki, baiskeli na majiko yenye picha yake. mwambie ukweli huku kitaani hapendwi .. tofauti na mtangulizi wake aligusa nyoyo za watanzania .. itabaki katika kumbukumbu jinsi watu 45 walivyokufa kwa mkanyagano wakiomboleza msiba wake pale kwa Mkapa..
50/50 mkuu hata magu kwenye kuwafurahisha hao waliokua wanamkubali akiwapoka wengine stahiki zao
 
“Nyumba aina mwenyewe kwa sasa” binafsi ndio nilichookota kutoka kwa Polepole.

Sasa yeyote akiingia tu kwenye nyumba moja kwa moja kwenye fridge hakuna kinywaji unajua akiba ilipo unajichukulia tu na kumtuka kijana dukani. Unaingia tu jikoni na kuagiza mpishi aandae kitu gani.

Hapa ndio tulipo kwa maelezo ya Polepole, lakini dalili zilikuwa wazi mapema na watu kadhaa walisema humu ‘bi-tozo’ kwa sasa kama vile mateka wa kundi la watu wenye maslahi binafsi.
 
Tufanye 10
Hapana katiba inambana kwasababu kaongoza kwa miaka minne inahesabika kihalali kama term 1, hivyo ananafasi ya kugombania term 1 tu nyingine, kama Magu angetutoka 2024, hapo angeweza gombea tena term 2.
 
Nyumba aina mwenyewe kwa sasa binafsi ndio nilichookota kutoka kwa Polepole.

Sasa yeyote akiingia tu kwenye nyumba moja kwa moja kwenye fridge hakuna kinywaji unajua akiba ilipo unajichukulia tu na kumtuka kijana dukani. Unaingia tu jikoni na kuagiza mpishi aandae kitu gani.

Hapa ndio tulipo kwa maelezo ya Polepole, lakini dalili zilikuwa wazi mapema na watu kadhaa walisema humu ‘bi-tozo’ kwa sasa kama vile mateka wa kundi la watu wenye maslahi binafsi.
KAma nyumba haina mwenyewe alitakiwa kugomea teuzi
 
Back
Top Bottom