Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 169
C1 haina 4g lakini C2 ni nzuri zaidi. Ila nahisi officially hazijafika bado maana bei yake si rahisi.Hizo zote hovyo tu chujua nokia c1 kwa 125,000
Hii simu jana nimeiona ni nzuri pia.R7 inatumia soc ya kizamani sana MT6592 ambayo ni cortex A7
Hii T20 sijafanikiwa kuiona unaweza kuilink?
Kuna Alcatel fulani wanauza Tigo/Zantel ina cortex A53 ni simu nzuri sana kwa zinazouzwa chini ya 150k.
alcatel 1 - Full phone specifications
nishawaiitumia hii ni ovyo kabisaHizo zote hovyo tu chujua nokia c1 kwa 125,000
Vipi display yake iko clear au ka tecno tu?nishawaiitumia hii ni ovyo kabisa
haina tofauti na izo Tecno, mara notification alert hupati na hakuna sababu
slow/lagging as AF na hako ka 1GB RAM
ni MediaTek, sishangai
ni IPS, bottom line ni kwamba ina features zote za kiteknoVipi display yake iko clear au ka tecno tu?
R7 inatumia soc ya kizamani sana MT6592 ambayo ni cortex A7
Hii T20 sijafanikiwa kuiona unaweza kuilink?
Kuna Alcatel fulani wanauza Tigo/Zantel ina cortex A53 ni simu nzuri sana kwa zinazouzwa chini ya 150k.
alcatel 1 - Full phone specifications
Battery lake lina kubwa wa mAh ngapi.?Mimi nimechukua leo hii hiyo itel t20 lakini chakushangaza inachemka haraka sana
Zina tatizo gani.?Ukiona simu inatumia Go edition, kaa nayo mbali
2050mAhBattery lake lina kubwa wa mAh ngapi.?
Mkuu, Hii Nokia C1 iko ni smartphone na inasupport Android au Ni Symbian?Hizo zote hovyo tu chujua nokia c1 kwa 125,000
Hiyo simu sio ya kuibebesha ma vitu mengi ....Mimi nimechukua leo hii hiyo itel t20 lakini chakushangaza inachemka haraka sana
huko nishahama nipo iphone saiv, itel siyo simu😂😂Hiyo simu sio ya kuibebesha ma vitu mengi ....