Hapo hapo, pweza si mchezo....kitu pweza ndio mwisho wa matatizo
Binafc napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagza kichwa maana bila ya kula jicho cjajickia kama nimekula.Lakini pia kma hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama hutotokwa jasho bac unamatatizo kiafya.Haiishi hamu unatamani uendeleeeeee wewe unapenda ipi?
Binafc napenda sana supu ya samaki tena napenda kuagza kichwa maana bila ya kula jicho cjajickia kama nimekula.Lakini pia kma hakuna napenda supu ya bata huniburudisha kwa radha yake kama hutotokwa jasho bac unamatatizo kiafya.Haiishi hamu unatamani uendeleeeeee wewe unapenda ipi?
Nakubaliana nawe supu ya mawe a.k.a. gongo ni kiboko lakini tunaiogopa haipimwi na TBS.Supu zote nimetumia, lakini SUPU YA MAWE ni kiboko.
zote..
ilimradi supu
Basi kumbe wewe huna taabu..................
Kweli JF imekuwa kubwa... Longtime sijakuona...., hope you are fine naona tuko jamii moja ila tunapishana tu... vibaya hivyo...:A S embarassed:zote..
ilimradi supu
Kweli JF imekuwa kubwa... Longtime sijakuona...., hope you are fine naona tuko jamii moja ila tunapishana tu... vibaya hivyo...:A S embarassed:
we waendeleaje mpendwa??