Kwa kuwa Mimi ni mwanaume ninavyojijua Mimi ndio tulivyo wanaume wengi tunaongoza kwa kudukua mawasiliano .hello wana JF,
ningependa kujua kati ya wanaume na wanawake ,nani wanaongoza kudukua mawasiliano ya wapenzi wao.........................? kwa nini....??
MmmmhWanaume sana sana, ukishika simu kidogo utasikia anaanza kuuliza
Mi z cm yangu nakupa ushinde nayo 24hrs ila yako sichukuiWanaume ni zaidi. Wanaume wanachukia sana ku chitiwa japo wao kucheat si tatizo.
Nimewaza Kama Wewe, Wale Wanaolazimisha KupendwaWanaume waliopendwa kwa kuhurumiwa ndiyo huwa wanadukuwa wenzao