Kati ya mapacha lazima kuwe na mmoja ana mapungufu.

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,228
Nimekuwa nikisikia kwa watu tofauti kwamba kati ya mapacha lazima kuna moja ana mapungufu(hawawezi wakawa sawa wote),sina uhakika wa hii ila nimesikia tu.
Je kuna ukweli wowote?
 
Upungufu wa nini? Mimi sijaona, ni mmoja Kati ya mapacha. Tumekuwa Na akili, mawazo, hisia vinavyofanana viungo vya mwili vyote sawa, japo tumekuwa Na tofauti kidogo za hapa Na pale. Labda useme ni upungufu gani.
 
Mapungufu ya nini?

Kila mwanadamu awaye yule ana mapungufu yake.
Kwani mapacha si watu kama Mi na wewe tu?
Mapungufu walionao ni kama hii ya kwako ya kurusha thread kama hii ambayo ina mapungufu makubwa.

Pole!
 
unadanganya watu ,hata mkiwa mapacha haiwezekani mkafanaa akili,mawazo na hisia maana kila mmoja ana moyo wake
 
Back
Top Bottom