barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kwani makampuni ya lowassa ni yapi?
Kammilikisha mwanae,mwanae kawamilikisha maswahiba,,sasa niambie how can it be traced back kwake,,,na vlevle kumbuka wkti wa kampeni aliuza hisa zake voda na kununua kampuni ya Tanzanite one,,.vlevle Ana kaka zake wa moshi 'the mawala's' ambao ni ndugu zake kbsa wanamiliki plot nyingi za ujenzi dar na biashara nyingi sanaZile siasa chafu za nchi hii zinaelekea kujidhiirisha baada ya watanzania kushuhudia makampuni ya wakwepa kodi bila kutajwa kampuni hata moja yenye mahusiano na Lowassa. Kinyume chake kuna harufu ya uvundo inayowahusisha vigogo waliocheza mchezo wa kumchafua.
Ukweli utadhiirika kwamba alizamishwa kwente tope la ufisadi makusudi ili kukatiza safari yake ya "matumaini" na watu waoga wenye nia ya kuila nchi yetu bila kunawa na wenye hofu ya kulipiziwa kisasi
Kammilikisha mwanae,mwanae kawamilikisha maswahiba,,sasa niambie how can it be traced back kwake,,,na vlevle kumbuka wkti wa kampeni aliuza hisa zake voda na kununua kampuni ya Tanzanite one,,.vlevle Ana kaka zake wa moshi 'the mawala's' ambao ni ndugu zake kbsa wanamiliki plot nyingi za ujenzi dar na biashara nyingi sana
Natamani kuona wamiliki wa HSC wakitiwa hatiani na kufirisiwa, haiwezekani Kikwete anaondoka madarakani na wao wanatangaza kufirisika, sijawahi shuhudia uhuni wa wazi kama huu, hii familia imeonyesha dharau za wazi sana kwa watanzanaia
Duu nchi yangu hii!!!Mvaa Tai;
Habari za safari yako? Huko ulikokuwa hukupata habari kuwa huyo mmiliki alijitangaza kuwa "Kafilisika". Utamshitaki mfilisika?
Alifilisika kiasi kwamba, mfadhili wake yaani JK akamhurumia akampa unaibu Balozi kuleeeeeeee cccccccchiiinaa. Yupo Hong Kong. Anapata pumziko la mawazo ya ni jinsi gani alifilisika kijinga.
Sasa, labda umshauri JPM ajiangalie vyema kwenye orodha ya walio mnadi nchi nzima kwa sababu, nasikia ati huyu jamaa alifilisikia huko kwa kumchapishia yale mabango yoote ulio yaona pamoja na vigogo wengine wa ccm. Sasa, hiyo kodi ataipata wapi wakati amemtangaza nayo? Ndo maana unaona kimyaaaaa.
Zile siasa chafu za nchi hii zinaelekea kujidhiirisha baada ya watanzania kushuhudia makampuni ya wakwepa kodi bila kutajwa kampuni hata moja yenye mahusiano na Lowassa. Kinyume chake kuna harufu ya uvundo inayowahusisha vigogo waliocheza mchezo wa kumchafua.
Ukweli utadhiirika kwamba alizamishwa kwente tope la ufisadi makusudi ili kukatiza safari yake ya "matumaini" na watu waoga wenye nia ya kuila nchi yetu bila kunawa na wenye hofu ya kulipiziwa kisasi